|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Aliyekuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan na aliyekuwa Rais wa Marekani Jimmy Carter wameahirisha safari waliokusudia
ya kwenda Zimbabwe baada ya kunyimwa viza ya kuingia nchini humo.
|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Kiongozi wa waasi wa Kongo, Jenerali Laurent Nkunda amefanya mkutano katika mji mpya waliouteka wa Rutshuru, kwa kutaka kuonyesha
nguvu na uasi unaofanywa na majeshi yake.
|
Msemaji wa magereza ya Kenya ameelezea kushangazwa na ukanda wa video unaonyesha namna wafungwa wanavyopigwa kikatili nchini
humo, na uchunguzi umeanzishwa.
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Vivutio
Picha zaidi kutoka Marekani wakati kumbu kumbu ya miaka 10 ya mashambulio ya mabomu.
Michezo
Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Jumamosi ijayo itakutangazia mechi kati ya Aston Villa na Fulham.
|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||