BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja Magufuli: Tanzania haitakimbilia chanjo ya corona
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametoa tahadhari kuhusu chanjo ya Covid 19 ambayo imeanza kutolewa katika mataifa mbalimbali duniani.
Mambo 4 tusiyoyajua kuhusu chanjo ya virusi vya corona
Wakati baadhi ya maeneo mbalimbali dunia yakiwa tayari yamenza kutoa chanjo kwa watu wake dhidi ya virusi vya corona, bado mambo mengi yahahitajika kufahamika kuhusu jinsi gani chanjo hizo zitafanya kazi.
Biden amuonya Putin kuhusu kuingilia uchaguzi wa Marekani
Kiongozi wa Urusi amesema kuwa mazungumzo yao ya kwanza na rais mpya wa Marekani yalikuwa ''kama ya kibiashara na ya kweli''.
Sikiliza, Magufuli:Kuna Watanzania walienda nje kupata chanjo badala yake wakatuletea corona ya ajabu ajabu, Muda 2,56
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametahadharisha kuhusu chanjo ya Covid 19 ambayo imeanza kutolewa katika mataifa mbalimbali duniani.
Mchungaji aomba radhi baada video yake ya ibada ya utupu kusambaa mtandaoni
Mchungaji mmoja kutoa eneo la Nkpor, Idemili Kaskazini lililopo katika jimbo la Anambra State, kwa jina Onye Eze Jesus, ameomba msamaha kwa umma kwa video yake ya utupu iliyosambaa sana mitandaoni.
Video, Mfumo 'unaoaminiwa kutibu' corona Tanzania, Muda 2,19
Wakati dunia ikiendelea kupambana na virusi vya Corona, Mtanzania Msafiri Mjema amebuni mfumo rahisi wa kujifukiza alioupa jina la Aspera Covid 19 Nyungu, anaoamini ''unatibu'' virusi vya corona.
Waridi wa BBC: 'Niliacha kazi ya benki na kuanza kujenga misuli'
Ulimwengu wa Bi. Everlyn Okinyi Owala ,uko tofauti sana na wanawake wengine. Hii ni kutokana na muonekano wake na msukumo alionao kuhusu kujenga misuli wa umbo lake, na kuwahamasisha wanawake wengine wanaopenda kuwa na muonekano kama wake .
Kanisa Katoliki Tanzania latoa tahadhari ya maambukizi ya corona
Kanisa Katoliki nchini Tanzania limetoa tahadhari juu ya wimbi jipya la maambukizi ya corona na kuwataka wananchi kuchukua hatua zote za kujikinga.
Mwanamke mweusi ambaye Biden anataka kumuweka kwenye pesa ya Marekani
Rais Joe Biden anataka kubadilisha muonekano wa dola ya 20 ya Marekani kwa kuweka picha ya Harriet Tubman.
Uchaguzi wa Uganda 2021
Bofya hapa kwa taarifa za kina kuhusu uchaguzi wa Uganda.
Tetesi za soka Ulaya Jumatano 27.02.2021
Klabu ya Tottenham imewasiliana na kiungo wa kati wa PSG na Argentina Angel di Maria kuhusu uhamisho wa kwenda London. Mchezaji huyo wa zamani wa Man United mwenye umri wa miaka 32 anapatikana kwa uhamisho wa bila malipo mwisho wa msimu huu. (L'Equipe via Talksport)
Aliyekuwa mkufunzi wa PSG sasa ndiye kocha mpya wa Chelsea
Chelsea imeamuajiri aliyekuwa mkufunzi wa Paris St-Germain Thomas Tuchel kuwa meneja wake mpya kwa kandarasi ya miezi 18 kukiwa na fursa ya kuongeza kandarasi hiyo itakapokamilika.
"Kuchoka? Sitaki kupumzishwa'' - Bruno Fernandes
Mchezaji aliyeiongoza klabu ya Man United kushinda raundi ya nne ya kombe la FA Bruno Fernandes amepinga madai kwamba anahitaji kupumzika.
Frank Lampard atimuliwa Chelsea
Mechi yake ya mwisho kama kocha wa miamba hiyo ya London ulikuwa Jumapili wakishinda 3-1 dhidi ya Luton kwenye michuano ya FA.
Mesut Ozil: Kiungo wa kati wa Arsenal ajiunga na Fenerbahce
Kiungo wa kati wa Arsenal Mesut Ozil amekamilisha mchakato wa kujiunga na Fenerbahce ya Uturuki.
Je Ronaldo amefikia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi duniani?
Cristiano Ronaldo kwa sasa ndio mfungaji wa magoli mengi katika historia ya soka duniani kulingana na ripoti baada ya kufunga bao lake la 759 akiichezea Juventus dhidi ya Sassuolo ambapo timu yake iliibuka na ushindi wa magoli 3- 1. Lakini je ni kweli?
Simba yapangiwa tena Al-Ahly, Vita Club
Droo ya makundi ya Klabu Bingwa barani Afrika imepangwa hii leo ambapo wawakilishi pekee wa Afrika Mashariki Simba SC wamepangwa katika kundi la A Pamoja na mabingwa wa Afrika Al Ahly ya Misri.
Je hawa ndio wachezaji wanaosakwa na kila timu England
Wakati nusu ya kwanza ya msimu wa 2020-21 wa Ligi Kuu ya England unakaribia kumalizika, timu zinazoshiriki ligi hiyo bila shaka zimeanza kutafakari ni wapi vikosi vyao vinahitaji kuimarishwa.
Nataka kwenda kucheza soka Marekani - Messi
Nahodha wa Barcelona Lionel Messi amesema kwamba anatumai ataelekea kuendeleza soka yake Marekani wakati kandarasi yake itakapokamilika mwezi Juni.
Sikiliza, Sababu zilizolifanya kanisa Katoliki Tanzania kutoa tahadhari juu ya corona, Muda 3,11
Kanisa Katoliki nchini Tanzania limetoa tahadhari juu ya wimbi jipya la maambukizi ya corona na kuwataka wananchi kuchukua hatua zote za kujikinga.
Video, Jinsi ugonjwa wa ngozi ulivyonitenganisha na watu wengine, Muda 2,31
Bi. Queen Ereba kutoka Nigeria anasema ugonjwa wa ngozi ulimlazimisha kujitenga na watu na hata kuacha shule.
Video, 'Mimi ni mwanamke anayewindwa sana duniani na wahalifu', Muda 5,31
Mfahamu Jane Mugo, mpelelezi binafsi aliyesaidia mamia ya kesi ndani na nje ya Kenya.
Sikiliza, Mtanzania awa Mwafrika wa kwanza kutwaa tuzo ya Brady, Muda 2,51
Mtanzania Joyce Singano, ametwaa tuzo maarufu ya Brady Medal inayotolewa kwa wataalam watafiti wa miamba.
Video, 'Njia yangu bora ya kukata uchovu wa pombe ni maziwa ya mama anayenyonyesha', Muda 1,59
Baadhi ya wanaume wa Tanzania wanaonyonya maziwa ya wake zao 'kukata uchovu wa pombe' wamezungumza na mwandishi wa BBC Hamfrey Mgonja.
Video, Mke wa rais mteule Jill Biden ni mtu wa namna gani?, Muda 1,48
Mke wa Rais mteule Biden ni mtu wa namna gani?
Sikiliza, 'Hakuna aliyeathirika na ulaji wa nguruwe kufikia sasa', Muda 2,55
Serikali ya Tanzania imeanza kuchunguza kiini cha homa ya nguruwe, iliyoibuka mkoani Shinyanga eneo la Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo.
Video, Waangalizi wa Afrika Mashariki: Uchaguzi wa Uganda ulikuwa wa huru na haki, Muda 4,45
Kwa ujumla uchaguzi uliongozwa kwa njia ya amani, bila purukushani wala ghasia yeyote.
Video, Bobi Wine ataka watu wasubiri majibu kutoka kwa mawakala, Muda 0,30
Mgombea wa urais Bobi Wine ambaye alikuwa na wafuasi wengi vijana anasema atawaarifu watu kitakachofuata baada ya wakala kuja na majibu.
Video, Mambo matano unayopaswa kufahamu kuhusu uchaguzi wa Uganda, Muda 3,45
Raia wa Uganda watapiga kura tarehe 14 Januari, mwaka 2021.
Taarifa kuhusu Coronavirus
Aina mpya ya virusi vya corona: Je, tunajua nini?
Aina mpya ya virusi vya corona imekuwa ni ya kawaida ya virusi katika maeneo ya Uingereza
Ukipata maambukizi ya corona unaweza kuwa na kinga kwa miezi 5
Watafiti wanaonya kwamba bado kuna uwezekano wa kupata maambukizi na kuyasambaza kwa wengine.
Chanjo inayoweza kuzuia corona kwa 90% imepatikana
Chanjo ambayo inaonesha hatua kubwa ya kurejesha maisha kurudi kuwa kawaida ,ingawa changamoto zinaweza kusalia.
Sababu 5 kwanini Afrika haikuathirika sana na virusi vya corona
Nchi nyingi za Afrika zimesifiwa kwa kuzuia kusambaa kwa virusi vya corona licha ya mifumo ya afya katika baadhi ya nchi hizo kuwa mbaya.
Je wajua kuna 'aina tofauti' za corona?
Uchambuzi wa watafiti katika chuo cha King's College mjini London nchini Uingereza umeweza kuigawanya Covid-19 katika "aina " sita, kila aina ikitengwa kulingana na upekee wa dalili zake.
Ukweli kuhusu majira ya baridi na joto kuhusu corona
Magonjwa mengi ya maambukizi hutokea wakati tofauti katika mwaka.
Haba na Haba Redio
Sikiliza, Tanzania: Changamoto kwa watu walemavu kupata mkopo, Muda 29,03
Halmashauri zote nchini Tanzania zinapaswa kutenga asilimia mbili ya mapato yake kwa ajili ya walemavu.
Sikiliza, Ni kwa namna gani uwepo wa sheria ya umiliki wa ardhi inamuwezesha mwanamke kupata haki hiyo?, Muda 29,09
Serikali inafanya nini kuhakikisha sheria ya umiliki wa ardhi inawafaidisha wanawake.
Global Newsbeat
Sikiliza, Diamond mmoja wa watakaotumbuiza tuzo za MAMA, Muda 2,00
Majina ya watakaotumbuiza kwenye tuzo za mwaka huu za MTV mamas yametangazwa. Tuzo hizo zitafanyika nchini Uganda tarehe 20 mwezi wa Februari.
Kwa Picha: Tazama Rais Donald Trump akiondoka katika Ikulu ya White House
Rais Donald Trump hatimaye ameondoka katika Ikulu ya White House ili kutoa fursa kwa rais mteule Joe Biden kuapishwa kuwa rais mpya na kuwa mpangaji mpya wa jumba hilo kwa muda wa miake minne ijayo
Dira TV
Vipindi vya Redio
Dira Ya Dunia, 18:29, 27 Januari 2021
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Amka Na BBC, 06:59, 27 Januari 2021
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Amka Na BBC, 05:59, 27 Januari 2021
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
MBELE Amka Na BBC, 05:59, 28 Januari 2021
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
Rais Ndayishimiye abadili kauli yake kuhusu uhusiano wa nchi yake na Rwanda
Katika kile kinachoonekana kama 'ishara njema' katika kutatua mzozo wa kidiplomasia kati ya Rwanda na Burundi Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amesema kuwa anaamini nchi hizo mbili zitakuwa tena na uhusiano mwema hivi karibuni.
Uingereza yapiga marufuku abiria kutoka Tanzania, DRC
Uingereza yapiga marufuku abiria kutoka Tanzania na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuzuia maambukizi ya aina mpya ya virusi vya corona.
‘Hakuna uhakika chanjo zinazotolewa zina kinga thabiti’
Naibu wa afisa mkuu wa matibabu Uingereza amesihi wale ambao washapata chanjo waendelee kufuata kanuni za wizara ya afya.
Kimbunga Eloise chasababisha mafuriko mabaya Msumbiji
Zaidi ya nyumba 1000 zimengamizwa vibaya na nyengine 3000 kuharibiwa kabisa , maafisa wanasema.
Wake wengi wa marais walitegemea nguvu ya mume 'rais’
Mtunzaji wa makumbusho Gwendolyn DuBois Shaw amezungumza na BBC kuhusu utamaduni wa wake za marais tangu mwanzo na jinsi ulivyobadilika.
Biden aomba msamaha juu ya wanajeshi kulala eneo la kuegesha magari
Picha za mamia ya wanajeshi wa kulinda usalama wakiwa wamelala eneo la kuegesha magari zilisababisha hasira miongoni mwa wabunge.
Kiongozi wa Iran atishia kumshambulia Trump
Picha kwenye tovuti yake rasmi inamuonesha Donald Trump akicheza gofu katika kivuli cha ndege ya kivita au ndege kubwa isiyo na rubani.
Marekani yawaondolea Watanzania marufuku ya viza ya bahati nasibu
Marufuku aliyoiondoa Biden iliwekwa mwaka uliopita na utawala wa Trump.
Afrika itasubiri muda mrefu kupata chanjo
Afrika itasubiri "wiki kama sio miezi kabla ya kupata chanjo zilizoidhinishwa na WHO maafisa wameeleza.
Mataifa 10 yenye pasi zenye uwezo mkubwa Afrika
Jinsi pasi ya kusafiria ya taifa lako inavyoweza kukuingiza katika mataifa mengi bila kutumia visa ndivyo jinsi kibali hicho kilivyo na uwezo.
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.