BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Marekani yaahidi kushirikiana na Tanzania kuzuwia kusambaa kwa Corona.
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umesema kuwa Marekani iko tayari kushirikiana na Tanzania kuzuia kusambaa kwa COVID-19.
Rwanda 'iliilipa ' ndege iliyompeleka Paul Rusesabagina Rwanda
Rwanda imekubali kuwa ndiyo iliyolipa ndege iliyokuwa imembeba Paul Rusesabagina, mpinzani wa utawala wa Kigali ambayo ilimtoa Dubai na kumpeleka mjini Kigali Rwanda mwishoni mwa mwezi Agosti 2020.
Aliyetupwa katika dangulo la takataka sasa ni milionea
Freddie Figgers alikejeliwa kama mtoto "aliyenenepeana kwa kula " vyakala vyenye mafuta lakini aligeuka kuwa milionea mbunifu.
Aina za mazoezi yanayoweza kuboresha tendo lako la ndoa
Kuna aina mbali mbali za mazoezi lakini kuna baadhi ambayo huwa na manufaa ya kiafya inapokuja katika kujamiiana au tendo la ndoa kwa binadamu.
Mwanamfalme wa Saudia 'aliidhinisha mauaji ya Jamal Khashoggi ', yasema Marekani
Ripoti ya kijasusi ya Marekani imebaini kuwa Mwnamfalme wa Saudia Arabia Mohammed bin Salman aliidhinisha mauaji ya mwandishi wa habari wa nchi hiyo aliyekuwa ukimbizini Jamal mwaka 2018.
Jinsi Trump alivyombeba Kim katika ndege ya Air Force One
Makala mapya ya BBC yanaonesha jinsi hofu ya vita vya nyuklia dhidi ya Korea Kusini ilivyochangia urafiki kati ya Trump-Kim.
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 27.02.2021
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 27.02.2021: Torres, Calhanoglu, Kane, Lacazette, Bellerin, Rodrygo, Alaba, Haaland.
Kifo cha Maalim Seif na mwamko wa vita dhidi ya corona Tanzania
Februari 2021, unaweza kubaki kuwa mwezi mbaya kwa Tanzania kwa maana ya misiba mikubwa ambayo imewahi kutokea. Jambo baya kuliko yote ni kuwa hakuna ushahidi kwamba huu ndiyo mwisho wa upepo huu mbaya au labda ndiyo tunaelekea kubaya zaidi.
Wanaoishi na ulemavu wanaong'ara mitandaoni kwa ushawishi
"Lazima ufanye kazi kwa bidi ili kuwa wewe uanetaka kuwa mkweli na kuamini nembo unayoinadi." Ni Maneno ya ushauri kutoka kwa mshawishi mwenye ulemavu mwenye umri wa miaka 32 Tess Daly mwenye wafuasi zaidi ya laki mbili katika mtandao wa kijamii wa Insragram
Uchaguzi wa Uganda 2021
Bofya hapa kwa taarifa za kina kuhusu uchaguzi wa Uganda.
Je Ushindi wa Simba kombe la CAF una maana gani kwa soka ya Afrika mashariki?
Ushindi wa bao 1-0 ambao Simba iliupata katika Uwanja wa Benjamin Mkapa dhidi ya Al Ahly, Jumatano hii, ni wazi kwamba umeiweka klabu hiyo katika nafasi nzuri ya kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.
Benjamin Acheampong 'alilaghaiwa' dola milioni 1 na Zamaleck
Benjamin Acheampong anasema alidanganywa akatoa dola milioni 1 na klabu moja ya mpira wa soka na amedhamiria kwamba hili halitawahi kutokea tena - hasa na klabu ile ile.
FIFA yazindua tawi la maendeleo ya soka Rwanda
Kulingana FIFA tawi hilo litakuwa na jukumu la kuhakikisha maendeleo ya mpira wa miguu yanafikiwa katika maeneo ya Afrika Mashariki na kati.
Osaka kumenyana na Jennifer Brady baada ya kumchapa Serena Williams
Mjapani Naomi Osaka alipata ushindi mrua dhidi ya Serena Williams na kutinga fainali ya mashindano ya wazi ya Australia na kumaliza hamu ya Mmarekani huyo kuweka rekodi ya kunyakua taji la 24 la Grand Slam..
Mchezaji aliyebakwa na kuuawa kwa kuwa mpenzi wa jinsia moja
Mchezaji mpira wa kimataifa, kocha na mtu aliyekuwa na mipango ya kuwa mwamuzi, Eudy Simelane aliwekeza Maisha yake yote katika mchezo wa kandanda.
Barcelona yachukua hatua za kisheria baada ya kuvuja kwa mkataba wa Messi
Barcelona imesema itachukua "hatua za kisheria" dhidi ya gazeti la Uhispania la El Mundo baada ya kuchapisha maelezo ya mkataba wa Lionel Messi.
Dozi moja ya chanjo ya Covid-19 'salama na yenye ufanisi'
Taasisi ya udhibiti wa viwango vya dawa na chanjo nchini Marekani inasema dozi moja ya chanjo ya Johnson and Johnson ni salama , na inaweza kuidhinishwa katika kipindi cha siku kadhaa.
Video, Barakoa mbili: Je tunapaswa kuzitumia?, Muda 1,41
Baadhi ya nchi zinashauri watu wavae barakoa mbili- moja juu ya nyingine, lakini je tunapaswa kuvaa barakoa zaidi ya moja?
Sikiliza, Je ni ugonjwa gani huu hatari unaowaathiri sana wanawake weusi?, Muda 2,21
Wanawake wengi Afrika wanasumbuka na uvimbe katika kizazi. Hali hii huwaathiri wanawake wakati wa uzazi kwa miaka mingi na husababisha maumivu makali sana.
Video, Tazama jinsi Jumba hili lilivyohamishwa kutoka eneo moja hadi jingine San Fransisco, Muda 1,02
Wakaazi wa San Fransisco walijipata wakitazama uhamisho wa jumbe kubwa la Victorian House lenye miaka 139 katika barabara za mji huo.
Video, 'Tuko jehanamu': Kwa nini wanaume watano wamekwama kwenye meli, Muda 1,26
Wanaume hao wamekwama ndani ya meli hiyo ndani meli kwa karibu miaka minne
Video, Jinsi Maalim Seif alivyoagwa na Wazanzibari, Muda 2,07
Jinsi Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad alivyoombolezwa na Wazanzibari .
Sikiliza, Suleiman Maalim Seif: 'Nasikitika sitaweza kumzika baba', Muda 3,13
Suleiman Maalim Seif ameiambia BBC kwamba hatafanikiwa kuhudhuria mazishi ya baba yake.
Video, 'Maalim Seif amekuwa nguzo muhimu', Muda 0,53
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Maalim Seif amekuwa nguzo muhimu.
Video, Tanzania yajenga reli mpya itakayounganisha nchi jirani, Muda 2,35
Tanzania inajenga reli mpya ya kisasa badala ya ile ya zamani iliyojengwa karibu miaka 100 iliyopita wakati wa ukoloni.
Sikiliza, 'Marufuku kuvaa nguo zisizo na stara Zanzibar', Muda 4,22
Hatua kuchukuliwa kwa watembeza watalii na wamiliki wa hoteli wasiosimamia marufuku hiyo.
Taarifa kuhusu Coronavirus
Mambo 4 tusiyoyajua kuhusu chanjo ya virusi vya corona
Wakati baadhi ya maeneo mbalimbali dunia yakiwa tayari yamenza kutoa chanjo kwa watu wake dhidi ya virusi vya corona, bado mambo mengi yahahitajika kufahamika kuhusu jinsi gani chanjo hizo zitafanya kazi.
Fahamu habari njema 10 kuhusu corona
Mwaka mmoja uliopita niliandika makala juu ya vipengele 10 ambavyo ni taarifa njema juu ya virusi vya corona lengo likiwa ni kuonesha sayansi, ufahamu wa janga hili na ushirikiano ni muhimu katika kukabiliana nalo.
Gharama ya kutohesabu watu waliokufa Afrika
Ni mataifa manane pekee barani Afrika yalio na mifumo ya kutosha ya kuhesabu, uchunguzi wa BBC umebaini.
Aina mpya ya virusi vya corona: Je, tunajua nini?
Aina mpya ya virusi vya corona imekuwa ni ya kawaida ya virusi katika maeneo ya Uingereza
Ukipata maambukizi ya corona unaweza kuwa na kinga kwa miezi 5
Watafiti wanaonya kwamba bado kuna uwezekano wa kupata maambukizi na kuyasambaza kwa wengine.
Chanjo inayoweza kuzuia corona kwa 90% imepatikana
Chanjo ambayo inaonesha hatua kubwa ya kurejesha maisha kurudi kuwa kawaida ,ingawa changamoto zinaweza kusalia.
Sababu 5 kwanini Afrika haikuathirika sana na virusi vya corona
Nchi nyingi za Afrika zimesifiwa kwa kuzuia kusambaa kwa virusi vya corona licha ya mifumo ya afya katika baadhi ya nchi hizo kuwa mbaya.
Je wajua kuna 'aina tofauti' za corona?
Uchambuzi wa watafiti katika chuo cha King's College mjini London nchini Uingereza umeweza kuigawanya Covid-19 katika "aina " sita, kila aina ikitengwa kulingana na upekee wa dalili zake.
Ukweli kuhusu majira ya baridi na joto kuhusu corona
Magonjwa mengi ya maambukizi hutokea wakati tofauti katika mwaka.
Ramani mubashara hali ya coronavirus duniani
Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica
Haba na Haba Redio
Sikiliza, Tanzania: Changamoto kwa watu walemavu kupata mkopo, Muda 29,03
Halmashauri zote nchini Tanzania zinapaswa kutenga asilimia mbili ya mapato yake kwa ajili ya walemavu.
Sikiliza, Ni kwa namna gani uwepo wa sheria ya umiliki wa ardhi inamuwezesha mwanamke kupata haki hiyo?, Muda 29,09
Serikali inafanya nini kuhakikisha sheria ya umiliki wa ardhi inawafaidisha wanawake.
Global Newsbeat
Sikiliza, Mwanamke mchanga aliyepiga mashua kwa siku 70, Muda 2,03
Mwalimu mmoja wa uongeleaji, Jasmine Harrison kutoka Kaskazini mwa Yorkshire amekuwa mwanake wa kwanza mdogo kupiga mashua kwa siku 70 peke yake
Katika Picha: Mapokezi ya mwili wa Maalim Seif Zanzibar
Katika Picha: Mapokezi wa mwili wa Maalim Seif Zanzibar
'Hupaswi kuwa muoga ukivua papa'
Idadi ya papa nchini Congo-Brazzaville wako hatarini kutoweka hivyo wavuvi inawawia vigumu kuvua mpaka wawatafute katika kina kirefu.
Dira TV
Video, Matangazo ya Dira ya Dunia TV, Muda 47,48
Ijumaa 26.02.2021 na Salim Kikeke
Vipindi vya Redio
MBELE Amka Na BBC, 05:59, 1 Machi 2021
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Wiki Hii, 07:00, 27 Februari 2021
Kipindi cha yaliyojiri wiki nzima kinachokujia kila Jumamosi saa kumi na mbili asubuhi Afrika Mashariki
Wiki Hii, 06:00, 27 Februari 2021
Kipindi cha yaliyojiri wiki nzima kinachokujia kila Jumamosi saa kumi na mbili asubuhi Afrika Mashariki
Dira Ya Dunia, 18:29, 26 Februari 2021
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
Ndege mwenye jinsia mbili apatikana Marekani
Ndege ambaye ameonekana kuwa nusu-jike na nusu-dume amepigwa picha jimboni Pennsylvania na mfuatiliaji ndege baada ya kumsikia rafiki yake ambaye alimuona ndege huyo.
Mahakama yamuamrisha mwanaume kumlipa mkewe kwa kazi za nyumbani
Kesi hiyo ya kihistoria imeibua mjadala kwani imetoa mwangaza kuhusu kazi wanazofanya wanawake wa nyumbani bila malipo.
Elon Musk apoteza taji la mtu tajiri zaidi duniani - kunani?
Mkuu huyo wa Tesla Elon Musk amepoteza taji lake la kuwa mtu tajiri zaidi duniani baada ya thamani ya hisa za kampuni hiyo ya kutengeneza magari duniani kushuka .
'Mume wangu ana umri zaidi ya wazazi wangu'
Unapokutana na Ciru Njuguna na Greg Twin mara ya kwanza, si rahisi kufikiria kwamba wanaweza kuwa wameoana na wanaishi kama mume na mke.
Je ni kwanini Marekani inamshutumu mke wa "El Chapo"
Kwa mtu ambaye amekuwa akifuatilia kesi ya Joaquín "El Chapo" Guzmán kwa miaka miwili iliyopita, kukamatwa kwa mke wake Jumatatu ni hatua ambayo kwa kiasi fulani ilitarajiwa lakini swali ni je kwanini sasa.
Watumiaji wa WhatsApp wasiofuata masharti kukosa huduma za ujumbe
Watumiaji wa mtandao wa WhatsApp ambao hawatafuata masharti mapya na vigezo mpaka kufikia tarehe 15 mwezi Mei hawataweza kupokea au kutuma ujumbe mpaka wakubali masharti hayo.
Mgahawa wa Uchina waomba msamaha kwa kuwadhalilisha kingono wanawake
Mgahawa huyo maarufu ambao ni sehemu ya kampuni ya vinywaji awali iliuza pakiti za chai zenye maandishi "Ni lazima nikutake wewe".
Jinsi hisabati zilivyogundulika kutoka maktaba ya Kiislamu
Karne kadhaa zilizopita , maktaba moja ya Kiislamu ilizindua nambari za kiarabu duniani. Licha ya kwamba maktaba hiyo ilitoweka baadaye, hatua yake ya kuzindua nambari hizo ilibadilisha dunia.
Magufuli: 'Hatujazuia matumizi ya barakoa'
Magufuli pia amewahimizi Watanzania kutumia njia za kiasili kukabiliana na magonjwa ya kupumua ukiwemo ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kujifukiza. (kupiga nyungu)
'Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka'
Simulizi ya mtoto mwenye ugonjwa adimu duniani ambaye katika maisha yake ameishi hospitalini zaidi ya nyumbani tena kwenye chumba cha wagonjwa mahututi (ICU)
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.