BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu

Moja kwa moja Mzozo wa Tigray wa Ethiopia: Makubaliano ya amani yaafikiwa
Inakuja baada ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili yaliyowezeshwa na AU na kusuluhishwa na Olusegun Obasanjo.
Vita vya Ukraine:Hofu ya zama za Soviet yarejea Urusi
Inafahamika kwamba dikteta wa Sovieti Stalin aliagiza milioni ya raia wake kuuawa.
Fahamu jinsi ndege zisizo na rubani za Ukraine zilivyoshambulia meli za Urusi
Eneo la chini la meli za kijeshi za Urusi zilizopo katika bahari nyeusi katika Ghuba ya Sevastopol zilishambuliwa na kundi la ndege zisizo na rubani baharini na angani asubuhi ya Oktoba 29. Operesheni
WARIDI WA BBC: ‘Nilishuhudia watoto wengi wakifariki kando ya mwanangu’
“Madaktari walinieleza kuwa huyu mtoto wangu alikuwa ameharibika ubongo kutokana na uzito wa maji , na hali yake ya kuishi itakuwa ni ngumu sana
Video, 'Ni kheri umuone daktari mapema uanze matibabu ya saratani, kuliko kujificha, Muda 5,39
“Ni kheri umuone daktari mapema uanze matibabu ya saratani, kuliko kujificha, kwani kutakugharimu sana baadaye”
Usafiri wa Anga: 'Ghostflights' ni nini? kwanini ndege hizi huzunguka tupu?
Watu wengi wanasema kwamba ndege hizo hazimnufaishi mtu yeyote na ni utaratibu usiohitajika na usio na maana.
Uchaguzi Kenya 2022: Yote unayopaswa kujua
Uchaguzi Kenya 2022:Yote unayopaswa kujua
Yote unayopaswa kujua kuhusu uchaguzi wa Kenya Agosti 9 2022
Tetesi za soka Ulaya Jumatano 02.11.2022
Borussia Dortmund huenda ikahitaji dau la rekodi ya £130m kutoka kwa ligi ya Uingereza ili kumuuza kind awa Uingereza Jude Bellingham, 19, anayevutia Manchester United, Chelsea na Liverpool..(Sun)
Lionel Messi: Mambo matano usiyoyajua kuhusu Messi
Lionel Messi ndiye mchezaji bora zaidi kuwahi kufunga jozi ya viatu vya soka.
Wachezaji nyota ambao huenda wasishiriki kombe la Dunia Qatar 2022
Michuano ya Kombe la Dunia la Qatar 2022 itaanza tarehe 20 Novemba - ikiwa na maandalizi ya kipekee ya msimu wa baridi ikimaanisha kuwa nyota wengi duniani watashiriki mechi za vilabu vyao hadi wiki moja kabla ya michuano hiyo kuanza.
Ballon d'Or: Karim Benzema ashinda tuzo ya mchezaji bora wa soka duniani
Mshambuliaji wa Real Madrid na Ufaransa Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d'Or - tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka huu - kwa mara ya kwanza.
Kylian Mbappe awapiku Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kwa utajiri - Forbes
Kylian Mbappe ameongoza orodha ya Forbes kwa wanasoka walioingiza fedha nyingi zaidi - mara ya kwanza mtu mwingine isipokuwa Lionel Messi au Cristiano Ronaldo amekuwa nambari moja kwa miaka tisa.
Video, BBC Michezo Afrika: Vunja mwiko upone - Magdalena Moshi, Muda 25,26
Hii ni baada ya kufanyiwa upasuaji wa dharura ambapo alitolewa kilo 3.7 za uvimbe kwenye mfuko wa uzazi, yaani fibroids.
Tazama jinsi marubani wa Ukraine wanavyowinda makombora ya Urusi baada ya mashambulizi
Urusi imerusha mamia ya makombora na ndege zisizo na rubani huko Ukraine katika wiki chache zilizopita, na kuua makumi ya raia na kusababisha kukatika kwa umeme kote nchini.
Video, ‘Wenye ulemavu wa kusikia pia tunaweza kuwa warembo na watanashati', Muda 3,58
Je umeshawahi kujiuliza warembo na watanashati hao wanaweza kufuatisha midundo ya sauti?
Siku ya Polio Duniani: Polio ni nini na inaenea vipi?
Ugonjwa huo adimu, unaosababishwa na virusi ulikuwa karibu kutokomezwa kote ulimwenguni, isipokuwa nchini Pakistan na Afghanistan.
Maisha ya familia moja chini ya utawala wa Warusi: 'Sitaki wanipige mabomu'
Mawasiliano katika mji wa Kherson nchini Ukraine yamedhibitiwa vikali.
Fahamu kilichosababisha kaa kufa kwa wingi katika fukwe za Zanzibar
Sisi wavuvi na wale wanaotoa huduma za boti za watalii inatulazimu kila siku kusafisha fukwe.
BBC Africa Eye: Tigray yazingirwa
Eneo la Tigray nchini Ethiopia limezingirwa na vita kwa takribani miaka miwili. Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Ethiopia na vikosi vya Tigrayan yameahirishwa na kuna ripoti za mapigano mapya.
Taarifa kuhusu Coronavirus
Janga la Corona miaka miwili: Mambo matano tuliyojifunza
Mnamo Machi 11, 2020, Shirika la Afya Duniani lilitangaza rasmi mlipuko wa Covid-19. Hivi ndivyo mambo yalivyobadilika
'Covid ilinihofisha nikagandisha yai langu'
Kliniki zinazoongoza za uzazi nchini Uingereza zinaendelea kushuhudia ukuaji wa matibabu ya kugandisha yai.
Omicron na Delta zasababisha tsunami ya kesi za covid-WHO
Walakini, Dk Tedros aliwaambia waandishi wa habari kampeni kubwa nchi tajiri kutoa chanjo za ziada "zina uwezekano wa kuongeza muda wa janga hili", kwani wanaelekeza vifaa kutoka kwa nchi masikini, ambazo hazina chanjo,
Kwa nini Afrika imeshindwa kufikia lengo la chanjo ya kimataifa
Lengo la kufikia 40% ya viwango vya chanjo kamilifu katika kila nchi hadi kufikia mwisho wa mwezi Disemba halijafanikiwa barani Afrika.
Nitajitunza vipi baada ya kupata Covid?
Ni lini inafaa kuondoka kwenye kiti au kitanda ?
Dalili za Omicron: Je mafua ni dalili ya virusi vya corona?
Je mafua yanaweza kuwa dalili ya Omicron?
Maswali yako matano kuhusu kirusi hatari cha corona yajibiwa
Mara tu omicron kilipotajwa kuwa aina ya kirusi kipya tarehe 26 Novemba, mjadala kuhusu kiruisi hiki ulichacha kwenye mitandao.
Ramani mubashara hali ya coronavirus duniani
Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica
Tuyajenge
Sikiliza, Udhalilishaji wa kingono nini?, Muda 28,58
Makala haya yanaangazia suala la unyanyasaji wa Kingono nchini Tanzania na kuonesha namna vitendo hivyo vinavyoweza kuleta athari kwa jamii kama visipoepukwa.
Global Newsbeat
Katika picha: Jinsi daraja la Gujirat lilivyoporomoka
Takriban wa 141 wamefariki baada ya daraja kuporomoka katika jimbo la Gujarat magharibi mwa India usiku wa Jumapili.
Dira TV
Video, Matangazo ya Dira ya Dunia TV, Muda 23,54
Jumanne 01.11.2022 na Salim Kikeke
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 3 Novemba 2022, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 2 Novemba 2022, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 2 Novemba 2022, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 2 Novemba 2022, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
Vita vya Ukraine: Simulizi za uvumilivu na machungu
Wakiwa wamechoshwa na kupigwa na vita vya miezi kadhaa, Waukraine hata hivyo hawajakatishwa tamaa na mashambulizi ya Urusi.
Tahadhari unazopaswa kuzingatia ili kulinda maisha yako unapoogelea
Mara kwa mara tumekuwa tukisia taarifa za watu kufa maji wanapokuwa wakiogelea. Lakini je unawezaje kuepuka ajali zinazotokea wakati mtu anapoogelea katika vidimbwi na maeneo mengine yenye maji?.
Sababu 5 kwa nini Putin hawezi kuamuru shambulizi la nyuklia
Wakati hofu ikiongezeka kuhusu kuongezeka kwa nguvu za nyuklia nchini Ukraine, mwandishi wa BBC mjini Moscow anaeleza kwa nini uamuzi huo mkali hauelekei.
Kuporomoka kwa daraja la Morbi: Jinsi eneo la watalii lilivyogeuka kuwa daraja la kifo
Maswali yanaulizwa nchini India baada ya daraja maarufu la miguu kuporomoka, na kuwatumbukiza watembea kwa miguu wengi kwenye mto katika jimbo la magharibi la Gujarat.
Tunachokifahamu kuhusu kinachoendelea mashariki mwa DRC
Mapigano baina ya jeshi la Congo FARDC na waasi wa M23 yalikuwa yametulia kwa wiki kadhaa, lakini tarehe 20 Oktoba yaliibuka tena na wanamgambo wa M23 wamekuwa wakiendelea kuyateka kwa kasi maeneo ya jimbo la Kivu Kaskazini.
Ni vitamini gani bora kwa ajili ya ubongo wako kuwa na afya?
Ni muhimu kuzingatia kwamba kulingana na maelezo kutoka Maktaba ya Taifa ya Marekani ya Tiba, "kuna vitamini 13 muhimu kwa ajili ya seli kufanya kazi vizuri na maendeleo yake".
Jinsi Marekani inavyoisaidia Ukraine kudhibiti mashambulizi ya kimtandao ya Urusi
Urusi ilishindwa kuangusha mifumo ya kompyuta ya Ukraine kwa shambulizi kubwa la mtandao ilipovamia mwaka huu, licha ya utabiri wa wachambuzi wengi.
Kwa nini akina mama wa sasa huhangaika 'kurudisha miili' baada ya kujifungua
Baada ya kupata mtoto, kinamama wanakabiliwa na shinikizo la kurudi kwenye miili yao waliokuwanayo kabla ya kupata mtoto.
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.