BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Viongozi watoa maoni mseto Kenya baada ya Raila Odinga kushindwa AUC
Viongozi nchini Kenya watoa maoni yenye hisia mseto juu ya uchaguzi wa AUC huku mgombea wa uenyeketi kutoka nchini humo Raila Odinga akishindwa na mgombea wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf.
Baada ya kuanguka AU, nini Mustakabali wa Odinga na Siasa za Kenya?
Kuingia kwenye siasa za Afrika kupitia uchaguzi wa AUC, kunaonekana na baadhi kama kutamuongezea nguvu kwenye siasa za Kenya, ingawa kuna mtazamo mwingine kuwa, kushindwa kwake, kunakwenda kupunguza mvuto wake kwenye siasa za kiwango cha bara (Afrika) na hilo linasogea pia mpaka kwenye siasa za ndani za Kenya.
Mahamoud Ali Youssouf: Kutoka diplomasia ya Djibouti hadi uongozi wa AUC
Kimataifa, Youssouf amekuwa akiongoza kama Mwenyekiti wa Kikao cha Kawaida cha 129 cha Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya nchi za kiarabu mnamo 2008.
'Sina machungu...na bado ninapatikana kutoa huduma yoyote kwa bara hili' – Raila Odinga
Waziri wa zamani wa Kenya Raila Odinga amesema anataka kukubali kwake kushindwa kwenye uchaguzi wa AUC itumiwe kama mfano mwema barani Afrika.
Jinsi historia ya uchafuzi wa wanadamu inavyoandikwa kwenye uso wa dunia
Asili ina namna yake ya kukumbuka matukio - hasa shughuli za binadamu zinazochafua mazingira, wakati mwingine huonekana kwenye pete za miti, mchanga w pwani na mifumo ya ikolojia.
Kwa nini saratani ya mapafu inaongezeka kwa wanawake ambao hawajawahi kuvuta sigara?
Takriban visa vipya milioni 2.5 vya saratani ya mapafu viligunduliwa duniani kote mwaka 2022 - ongezeko la visa 300,000 tangu 2020.
Rashford ana matumaini ya kuhamia Barca – Tetesi za Soka Ulaya Jumapili
Marcus Rashford ana matumaini ya kujiunga na Barcelona msimu huu wa joto, Atletico Madrid wanamfuatilia kwa karibu Jean-Philippe Mateta wa Crystal Palace, huku Manchester City wanamwona Charles de Ketelaere kama mbadala wa Kevin de Bruyne.
Mahmoud Yussouf Ali achaguliwa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika
Safari ya aliyekuwa Waziri Mkuu nchini Kenya Raila Odinga kuwa Mwenyekiti wa Tume ya AUC inafikia kikomo, licha ya taifa lake kumfanyia kampeni kali.
Israel yawaachia huru wafungwa wa Kipalestina, baada ya Hamas kuwaachialia mateka wa Israel huko Gaza
Israel inasema Alexander Troufanov, Yair Horn na Sagui Dekel-Chen - ambao walitekwa katika mashambulizi ya Oktoba 7 - sasa wako na jeshi la Israeli.
'Nilihisi mguso wa ngozi yenye majimaji ikipapasa uso wangu'
Dall alikuwa ameweka kamera nyuma ya kifaa chake ili kurekodi mawimbi yanayoinuka - ambayo ilirekodi tukio la ajabu la mwanawe.
Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 waingia mjini Bukavu
Hatua hiyo ya waasi inakuja licha ya wito wa kimataifa wa kusitisha mapigano na kuanzishwa tena kwa mazungumzo ya amani.
'Mke wangu anahofia unyumba, mimi naogopa kufa' - Athari za kufungiwa USAID
Licha ya Marekani kuruhusu misaada ya kiutu kuendelea kutolewa, huduma za kuokoa maisha zilizokuwa zikifadhidliwa na USAID hazijarejeshwa.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Gumzo mitandaoni
Corneille Nangaa: Kutoka kuwa mkuu wa uchaguzi DRC hadi kuongoza waasi wa M23
Akiwa mkuu wa muungano wa Congo River Alliance (CRA) ambao ni washirika wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, Corneille Nangaa Yubeluo ameteka miji muhimu ya mashariki mwa Congo, ikiwa ni pamoja na mji muhimu wa Goma...lakini je, Nanga ni nani?
Trump anataka amani huku raia wa Ukraine wakiingiwa hofu
Trump na Putin wanataka kufanya makubaliano ya kusitisha mapigano Ukraine. Lakini raia wa Ukraine wanahoji jinsi maisha baada ya kusitisha mapigano yatakavyokuwa.
Bowen: Zelensky katika hali ngumu mpya baada ya mazungumzo ya simu ya Trump-Putin
Lengo lililotangazwa na Zelensky ni kurejesha maeneo yaliyopotea ya Ukraine, ambayo ni takriban theluthi moja ya ardhi yote ya nchi hiyo. Pia anataka Ukraine kuwa mwanachama kamili wa NATO.
Kiongozi wa waasi na ushiriki wake katika machafuko ya Rwanda na DRC
Asili ya mzozo huu inaweza kueleweka kupitia hadithi ya mtu mmoja, kiongozi wa M23, Sultani Makenga, ambaye amekuwa akihusishwa na mashtaka mashtaka mbalimbali ya uhalifu wa kivita.
Ni nani anayeimiliki Gaza?
Hakuna maelezo yoyote yaliyotolewa kuhusu jinsi Trump atakavyoweza kuchukua udhibiti wa Gaza. Tangazo hilo lililaaniwa kote duniani, nchi nyingi zikiwemo Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Brazil, Australia, Urusi na China zikikataa mpango huo.
Mambo ambayo hupaswi kufanya ikiwa unakosa usingizi
Ukosefu wa usingizi ni tatizo ambalo linaweza kuwapata wengi wetu wakati fulani wa maisha, lakini kwa baadhi ya watu, linapita na kuwa tatizo kubwa zaidi.
Jinsi mabadiliko ya tabianchi yanavyobadilisha ladha ya bia
Kwa ladha yake ya kuridhisha na ya kuvutia, vinywaji vichache huibua hisia kama bia baridi iliyomwagwa kwenye glasi.
Ni nani wanaohusika na mzozo wa DR Congo?
Rais wa Congo Félix Tshisekedi anataka kurudisha ardhi aliyoipoteza kwa waasi, ikiwemo mji mkubwa wa mashariki wa Goma, na kuzuia waasi hao kuchukua zaidi.
Je, Misri inajiandaa kufuta mkataba wa amani na Israel?
Bahaa El Din Mahmoud anasema, makubaliano ya amani ni mtaji wa kisiasa mikononi mwa Misri katika kujadiliana na Trump kuhusu mustakabali wa Gaza na suala la Palestina kwa ujumla.
Jinsi nilivyofichua uongo wa afisa mnyanyasaji wa shirika la ujasusi la Uingereza
Uongo wa kwanza wa shirika ulitokea wakati serikali ilipoipeleka BBC Mahakama Kuu mwaka 2022 ili kuzuia taarifa kuhusu mwanasiasa wa mrengo wa kulia anayefanya kazi kama afisa wa MI5.
Wakenya na Mtanzania miongoni mwa walioachiliwa huru na magenge ya utapeli Myanmar
Waziri Mkuu wa Thailand Paetongtarn Shinawatra ameapa kuvifunga vituo vya utapeli kwenye mpaka wa Thailand na Myanmar.
'Ngono studioni' na 'vitisho': Wafanyakazi wa Diddy wafichua tabia zake katika tasnia ya muziki
Wafanyikazi wa Bad Boy Records wanadai matukio ya kutamausha, katika safari ya Combs kuibuka msanii, ambaye sasa anakabiliana na mashtaka ya biashara ya ngono.
Michezo
Afya yako
Waridi wa BBC
Sikiza / Tazama
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 17 Februari 2025, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 14 Februari 2025, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 14 Februari 2025, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 14 Februari 2025, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani

















































