BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja Ajali ya gari Tanga: Kati ya 17 waliofariki 14 wa familia moja wametambuliwa
Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo katika barabara ya Segera - Buiko iliyopo wilayani Korogwe, mkoani Tanga.
Haya ndio makao makuu ya kuku wa kukaanga duniani?
Haya ndio makao makuu ya kuku wa kukaanga duniani?
Vifaa vya microchips: Rasilimali ya thamani inayopiganiwa na nchi za Marekani na China
Kwa zaidi ya karne moja kupigania mafuta yalizua vita, kulazimisha miungano isiyotarajiwa na kuzua migogoro mingi ya kidiplomasia, lakini sasa mataifa makubwa zaidi ya kiuchumi duniani yanapigania rasilimali nyingine ya thamani.
Vita vya Ukraine: Makombora ya msaada ya GLSDB kwa Ukraine yenye uwezo wa kupiga umbali wa 150km kuleta mapinduzi?
Hapo awali, silaha ya masafa marefu zaidi ya Ukraine ilikuwa mfumo wa roketi wa Himars, ambao unaweza kulenga shabaha kwa umbali wa hadi 80km (maili 50).
Utafiti: Mchwa wanaoweza kugundua saratani
Mchwa wanaweza kutambua saratani katika mkojo wa panya, utafiti mpya umegundua. Lakini sio wanyama pekee ambao wanaweza kusaidia katika ugunduzi wa saratani.
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 04.02.2023
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 04.02.2023: Osimhen, Saka, Mount, Aubameyang, Garnacho
Kwa nini mataifa yenye nguvu duniani 'yanaipigania' Afrika?
Msururu wa ziara hizo unachagizwa na uzito wa kidiplomasia wa bara hilo
Uchaguzi wa Nigeria 2023

Ni nani yuko kwenye kinyang'anyiro cha kuiongoza Nigeria?
Wafahamu wagombeaji walio kwenye kinyang'anyiro cha kuiongoza Nigeria katika uchaguzi wa Februari mwaka huu
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 03.02.2023
Mshambuliaji wa Brazil Gabriel Martinelli, 21, ametia saini mkataba mpya na Arsenal ambao utamweka katika klabu hiyo hadi msimu wa joto wa 2027. (Athletic - usajili unahitajika)
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 02.02.2023
Everton wanataka kumsajili mshambuliaji wa Ghana Andre Ayew, ambaye anatarajiwa kuwasili Uingereza kwa mazungumzo, kwa uhamisho wa bure. Nottingham Forest pia inaweza kujaribu kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33. (Mail)
Wafahamu wachezaji waliohamia klabu mpya - Januari 2023
Angalia usajili wote uliothibitishwa kutoka dirisha la uhamisho la Januari
Uhamisho wa Ligi Kuu: Matumizi ya kuvunja rekodi yatarajiwa kuongezeka siku ya mwisho
Dirisha la uhamisho wa Ligi Kuu ya Uingereza litafungwa Jumanne saa 23:00 GMT - na kuna uwezekano wa mikataba ambayo inaweza kuongeza zaidi rekodi ya kiasi ambacho tayari kimelipwa.
Uhamisho 11 wa wachezaji uliowahi kushangaza katika dirisha la usajili la Januari
Sajili 11 zilizowahi kushangaza katika dirisha la usajili la Januari
Kaoru Mitoma: Winga Mjapan anayekuja kwa kasi aliyesomea undani wa kukokota mpira akiwa chuo kikuu
Mitoma aliona kuwa "hakuwa tayari kimwili" na hivyo akajiandikisha katika Chuo Kikuu cha Tsukuba, saa moja na nusu kusini, ili kujifunza zaidi kuhusu mwili wake mwenyewe akiwa na shahada ya elimu ya viungo.
Frank Lampard: Kipi kimemuendea kombo kocha huyu aliyetimuliwa Everton?
Frank Lampard: Kipi kimemuendea kombo kocha huyu aliyetiumuliwa Everton?
Mechi kati ya Messi na Ronaldo inatoa taswira gani kwa mustakabali wa michezo
Mchezo wa kirafiki unaowashirikisha wachezaji nyota wa Argentina na Ureno mjini Riyadh ni mfano mwingine wa ongezeko la ushawishi wa kimataifa wa nchi za Ghuba katika michezo ya kimataifa.
Karim Mandonga: 'Katika watoto wangu wote huyu Shariff ndiye atakayekuwa mtu kazi'
Mandonga amekuwa akishiriki mapambano mfululizo bila ya kupumzika vya kutosha jambo lililoibua taharuki kwa wanafamilia na wataalamu wa afya.
Video, Mama wa Mtazania aliyeuawa vitani Ukraine: 'Nemes alikuwa akishinda kwenye kompyuta hata kula alisahau', Muda 1,16
Mama mlezi wa Mtanzania Nemes Tarimo aliyeuawa kwenye vita huko Ukraine, Roida Sambulika amemzungumzia kijana huyo kuwa alikuwa mpole na muda mwingi aliutumia kwenye kompyuta yake
Video, Video yaonyesha ndege ya Nepal ikiyumba muda mfupi kabla ya kuanguka, Muda 0,10
Ndege ilionekana ikigeuka ghaflainapoendelea kushuka
Video, Fahamu kuhusu tuzo ya BBC World News Komla Dumor iliyozinduliwa jijini Dar es Salaam, Muda 3,02
BBC imezindua Tuzo ya BBC World News Komla Dumor, ambayo sasa ni mwaka wake wa nane, ili kuwapa fursa waandishi wa habari Afrika kuibua na kukuza vipaji vyao.
Video, Tazama bosi wa mafia Matteo Messina Denaro alipokamatwa, Muda 0,29
Video inamuonyesha akiongozwa hadi kwenye gari kutoka kwa kliniki ya kibinafsi katika mji mkuu wa Sicily Palermo.
Video, Tazama jinsi wafuasi wa rais wa zamani wa Brazil wakivamia jengo la mahakama kuu nchini humo, Muda 0,18
Maelfu ya waandamanaji wenye mrengo wa kulia wanaonekana ndani ya jengo,, huku kundi lingine kubwa likionekana nje ya jengo hilo
Video, Mwanaume aokolewa asiburutwe chini ya treni yenye kasi India, Muda 0,25
Mwanaume huyo aliokolewa na mwanajeshi wa Kikosi cha Ulinzi cha Reli cha India (RPF)
Taarifa kuhusu Coronavirus
Janga la Corona miaka miwili: Mambo matano tuliyojifunza
Mnamo Machi 11, 2020, Shirika la Afya Duniani lilitangaza rasmi mlipuko wa Covid-19. Hivi ndivyo mambo yalivyobadilika
'Covid ilinihofisha nikagandisha yai langu'
Kliniki zinazoongoza za uzazi nchini Uingereza zinaendelea kushuhudia ukuaji wa matibabu ya kugandisha yai.
Omicron na Delta zasababisha tsunami ya kesi za covid-WHO
Walakini, Dk Tedros aliwaambia waandishi wa habari kampeni kubwa nchi tajiri kutoa chanjo za ziada "zina uwezekano wa kuongeza muda wa janga hili", kwani wanaelekeza vifaa kutoka kwa nchi masikini, ambazo hazina chanjo,
Kwa nini Afrika imeshindwa kufikia lengo la chanjo ya kimataifa
Lengo la kufikia 40% ya viwango vya chanjo kamilifu katika kila nchi hadi kufikia mwisho wa mwezi Disemba halijafanikiwa barani Afrika.
Nitajitunza vipi baada ya kupata Covid?
Ni lini inafaa kuondoka kwenye kiti au kitanda ?
Dalili za Omicron: Je mafua ni dalili ya virusi vya corona?
Je mafua yanaweza kuwa dalili ya Omicron?
Maswali yako matano kuhusu kirusi hatari cha corona yajibiwa
Mara tu omicron kilipotajwa kuwa aina ya kirusi kipya tarehe 26 Novemba, mjadala kuhusu kiruisi hiki ulichacha kwenye mitandao.
Ramani mubashara hali ya coronavirus duniani
Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica
Tuyajenge
Namna gani unaweza kupambana na mabadiliko ya Tabia nchi?
Jitihada za kupanda miti na kutunza mazingira kwa wakulima ni moja ya harakati zifanywazo nchini humo.
Sikiliza, Unapambanaje na ukatili wa kijinsia?, Muda 29,00
Shirika la Usawa wa KIjinsia linasema Jamii inapaswa kutambua kuwa ukatili wa kijinsia ni adui wa Maisha ya mwanadamu
Global Newsbeat

Argentina yashinda fainali ya Kombe la Dunia 2022 - katika picha
Argentina waibuka kuwa mabingwa wa Kombe la Dunia 2022 kwa mara ya tatu baada ya kuishinda Ufaransa.
Dira TV
Video, Matangazo ya Dira ya Dunia TV, Muda 24,01
Matangazo ya Dira ya Dunia TV na Esther Kahumbi na Zawadi Machibya
Video, Matangazo ya Dira ya Dunia TV, Muda 23,56
Matangazo ya Dira ya Dunia TV na Esther Kahumbi
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 6 Februari 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 3 Februari 2023, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 3 Februari 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 3 Februari 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
Kuna hatari gani kwa mtoto kuzaliwa na uzito mkubwa?
Hivi karibuni mwanamke mmoja huko Brazil alijifungua mtoto wa kiume ambaye ana urefu wa sentimita 59 na uzani wa kilo 7.3.
Afisa wa jeshi la Urusi: 'Wanajeshi wetu waliwatesa Waukraine'
Madai ya watu kuhojiwa kwa ukatili, ambapo waukraine walipigwa risasi na kutishiwa kubakwa, yametolewa na afisa wa zamani wa jeshi la Urusi.
Kwanini kukaa kwa muda mrefu ni hatari kwa maisha yako
Ulimwengu tunaoishi sasa sio mkubwa kama ilivyokuwa zamani. Zamani watu walikuwa wakitembea, kwenda sokoni, kulima, kuwinda, na kusafiri.
Je, Raila Odinga anataka nini haswa?
Mzozo mpya wa kisiasa umeibuka nchini Kenya kati ya seriikali na upinzani baada ya kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Raila Odinga kusema kwamba hatambui uongozi wa rais William Ruto na serikali yake miezi mitano baada ya kukamilika kwa uchaguzi mkuu nchini humo.
Je ni kweli wanawake wangetawala dunia kusingekuwa na vita?
Je ni kweli wanawake wangetawala dunia kusingekuwa na vita?
Mpende Putin, Chukia Ufaransa: Kampeni inayounga mkono Urusi inayolenga Afrika
Mwanamume anayeendesha mtandao mpya wa pro-Kremlin aliiambia BBC anataka Afrika iikumbatie Urusi.
Kwa nini Marekani na nchi nyingine za Magharibi zinakataa kupeleka ndege za F-16 Ukraine?
Kwa nini Marekani na nchi nyingine zinakataa kupeleka F-16 Ukraine?
Aina 8 za wanyama ambao wanaweza kutoweka milele
Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bioanuwai (COP 15), uliofanyika Desemba mwaka jana nchini Canada, uligonga vichwa vya habari kote duniani kutokana na kutangazwa kwa makubaliano ya kihistoria ya kulinda thuluthi moja ya ardhi na maji ya dunia hii hadi mwisho wa muongo huo.
Jinsi jeshi la wanamaji wa Marekani linavyojipanga upya kwa tishio la China
Maafisa wakuu wastaafu wamekuwa wakikutana mara kwa mara; kuzungumza kwenye semina na kubuni njia zao mbadala kwa mpango ambao wanaona kama janga kwa mustakabali wa Jeshi la Wanamaji.
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.