BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Mlipuko mkubwa watokea mji mkuu wa Equatorial Guinea
Watu takriban 15 wamefariki dunia huku wengine zaidi ya 100 wakipata majeraha katika mfululizo wa milipuko iliyotokea nchini Equatorial Guinea, Wizara ya afya imesema.
Moja kwa moja Aliyekuwa mke wa mtu tajiri zaidi duniani aolewa na mwalimu
MacKenzie Scott, mtalaka wa mwanzilishi wa Amazon Jeff Bezoz ameolewa na mwalimu wa sayansi katika shule ya watoto wake
Hijab yapigwa marufuku Uswizi
Uswizi imepiga kura ya kuunga mkono marufuku ya kuvaa hijabu katika maeneo ya umma ikiwemo burka na niqab zinazovaliwa na wanawake wa dini ya Kiislamu.
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 08.03.2021
Liverpool inapaswa kumuuza mshambuliaji wa Misri Mohammed Salah iwapo hafurahii kuwa katika klabu hiyo , kulingana na nahodha wa zamani wa klabu hiyo Robbie Fowler. (Mirror)
Rais wa Marekani aliyekutana na Mwalimu Nyerere na wapiganiaji uhuru wengine wa Afrika
Picha za maktaba zinazoonesha juhudi za John F Kennedy kuwaleta karibu viongozi wa Afrika baada ya nchi zao kupata uhuru.
'Sisi ni serikali na tunajua unachofanya'
Mwandishi wa BBC Girmay Gebru asimulia yaliyomkumba alipozuiliwa katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia.
Maajabu ya 'ziwa la mifupa ya binadamu'
Nadharia moja ya zamani inayohusisha mabaki hayo na mfalme wa India, mkewe na wahudumu wao, ambao wote waliangamia katika tufani kali ya theluji miaka 870 iliyopita.
Kenya yapiga marufuku mahindi kutoka Tanzania na Uganda - kunani?
Kenya imepiga marufuku mara moja ununuzi wa mahindi kutoka mataifa jirani ya Tanzania na Uganda.
Ndege mzee zaidi duniani apata kinda akiwa na miaka 70
Ndege huyo wa aina ya laysan albatross aliangua kifaranga hicho tarehe mosi Februari katika kambi moja ya wanyama pori.
Uchaguzi wa Uganda 2021
Bofya hapa kwa taarifa za kina kuhusu uchaguzi wa Uganda.
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 06.03.2021
Manchester United wamekuwa wakimsaka mchezaji wa Bayer Leverkusen na raia wa Burkina Faso Edmond Tapsoba, 22, baada ya kupewa kidokezo kuhusu uwezekano wa kumpata kutoka kwa mtu wa kuaminika katika soka ya Ujerumani (Express)
Je Ushindi wa Simba kombe la CAF una maana gani kwa soka ya Afrika mashariki?
Ushindi wa bao 1-0 ambao Simba iliupata katika Uwanja wa Benjamin Mkapa dhidi ya Al Ahly, Jumatano hii, ni wazi kwamba umeiweka klabu hiyo katika nafasi nzuri ya kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.
Benjamin Acheampong 'alilaghaiwa' dola milioni 1 na Zamaleck
Benjamin Acheampong anasema alidanganywa akatoa dola milioni 1 na klabu moja ya mpira wa soka na amedhamiria kwamba hili halitawahi kutokea tena - hasa na klabu ile ile.
FIFA yazindua tawi la maendeleo ya soka Rwanda
Kulingana FIFA tawi hilo litakuwa na jukumu la kuhakikisha maendeleo ya mpira wa miguu yanafikiwa katika maeneo ya Afrika Mashariki na kati.
Osaka kumenyana na Jennifer Brady baada ya kumchapa Serena Williams
Mjapani Naomi Osaka alipata ushindi mrua dhidi ya Serena Williams na kutinga fainali ya mashindano ya wazi ya Australia na kumaliza hamu ya Mmarekani huyo kuweka rekodi ya kunyakua taji la 24 la Grand Slam..
Mchezaji aliyebakwa na kuuawa kwa kuwa mpenzi wa jinsia moja
Mchezaji mpira wa kimataifa, kocha na mtu aliyekuwa na mipango ya kuwa mwamuzi, Eudy Simelane aliwekeza Maisha yake yote katika mchezo wa kandanda.
Barcelona yachukua hatua za kisheria baada ya kuvuja kwa mkataba wa Messi
Barcelona imesema itachukua "hatua za kisheria" dhidi ya gazeti la Uhispania la El Mundo baada ya kuchapisha maelezo ya mkataba wa Lionel Messi.
Mahakama yamrejesha Ahmad kuwa rais wa Caf
Ahmad, alipigwa marufuku na Fifa kwa miaka mitano mnamo mwezi Novemba.
Video, Serengeti hifadhi bora duniani, Muda 1,26
Hifadhi ya taifa ya Tanzania, Serengeti yatangazwa kuwa bora duniani
Video, Mvulana asiyeona wa miaka 9 anayefundisha wenzake katika eneo la mapigano, Muda 2,11
Mvulana asiyeona mwenye umri wa miaka 9 ,kwa jina Ahmed amekua akifanya kazi ya kuwafundisha wanafunzi wenzake katika eneo lililoharibiwa na mapigano nchini Yemen.
Video, Barakoa mbili: Je tunapaswa kuzitumia?, Muda 1,41
Baadhi ya nchi zinashauri watu wavae barakoa mbili- moja juu ya nyingine, lakini je tunapaswa kuvaa barakoa zaidi ya moja?
Dozi moja ya chanjo ya Covid-19 'salama na yenye ufanisi'
Taasisi ya udhibiti wa viwango vya dawa na chanjo nchini Marekani inasema dozi moja ya chanjo ya Johnson and Johnson ni salama , na inaweza kuidhinishwa katika kipindi cha siku kadhaa.
Video, Tazama jinsi Jumba hili lilivyohamishwa kutoka eneo moja hadi jingine San Fransisco, Muda 1,02
Wakaazi wa San Fransisco walijipata wakitazama uhamisho wa jumbe kubwa la Victorian House lenye miaka 139 katika barabara za mji huo.
Video, 'Tuko jehanamu': Kwa nini wanaume watano wamekwama kwenye meli, Muda 1,26
Wanaume hao wamekwama ndani ya meli hiyo ndani meli kwa karibu miaka minne
Video, Jinsi Maalim Seif alivyoagwa na Wazanzibari, Muda 2,07
Jinsi Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad alivyoombolezwa na Wazanzibari .
Sikiliza, Suleiman Maalim Seif: 'Nasikitika sitaweza kumzika baba', Muda 3,13
Suleiman Maalim Seif ameiambia BBC kwamba hatafanikiwa kuhudhuria mazishi ya baba yake.
Video, 'Maalim Seif amekuwa nguzo muhimu', Muda 0,53
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Maalim Seif amekuwa nguzo muhimu.
Video, Tanzania yajenga reli mpya itakayounganisha nchi jirani, Muda 2,35
Tanzania inajenga reli mpya ya kisasa badala ya ile ya zamani iliyojengwa karibu miaka 100 iliyopita wakati wa ukoloni.
Taarifa kuhusu Coronavirus
Mambo 4 tusiyoyajua kuhusu chanjo ya virusi vya corona
Wakati baadhi ya maeneo mbalimbali dunia yakiwa tayari yamenza kutoa chanjo kwa watu wake dhidi ya virusi vya corona, bado mambo mengi yahahitajika kufahamika kuhusu jinsi gani chanjo hizo zitafanya kazi.
Fahamu viongozi wa Afrika waliochanjwa chanjo ya corona
Baadhi ya marais wa Afrika wamekuwa wakipokea chanjo ya corona wazi, huku wakionekana moja kwa moja kwenye televisheni, ili kuonyesha mfano kwa raia wa nchi zao na kuondoa hofu kuhusiana na chanjo ya corona.
Fahamu habari njema 10 kuhusu corona
Mwaka mmoja uliopita niliandika makala juu ya vipengele 10 ambavyo ni taarifa njema juu ya virusi vya corona lengo likiwa ni kuonesha sayansi, ufahamu wa janga hili na ushirikiano ni muhimu katika kukabiliana nalo.
Gharama ya kutohesabu watu waliokufa Afrika
Ni mataifa manane pekee barani Afrika yalio na mifumo ya kutosha ya kuhesabu, uchunguzi wa BBC umebaini.
Aina mpya ya virusi vya corona: Je, tunajua nini?
Aina mpya ya virusi vya corona imekuwa ni ya kawaida ya virusi katika maeneo ya Uingereza
Ukipata maambukizi ya corona unaweza kuwa na kinga kwa miezi 5
Watafiti wanaonya kwamba bado kuna uwezekano wa kupata maambukizi na kuyasambaza kwa wengine.
Chanjo inayoweza kuzuia corona kwa 90% imepatikana
Chanjo ambayo inaonesha hatua kubwa ya kurejesha maisha kurudi kuwa kawaida ,ingawa changamoto zinaweza kusalia.
Sababu 5 kwanini Afrika haikuathirika sana na virusi vya corona
Nchi nyingi za Afrika zimesifiwa kwa kuzuia kusambaa kwa virusi vya corona licha ya mifumo ya afya katika baadhi ya nchi hizo kuwa mbaya.
Je wajua kuna 'aina tofauti' za corona?
Uchambuzi wa watafiti katika chuo cha King's College mjini London nchini Uingereza umeweza kuigawanya Covid-19 katika "aina " sita, kila aina ikitengwa kulingana na upekee wa dalili zake.
Ukweli kuhusu majira ya baridi na joto kuhusu corona
Magonjwa mengi ya maambukizi hutokea wakati tofauti katika mwaka.
Haba na Haba Redio
Sikiliza, Tanzania: Changamoto kwa watu walemavu kupata mkopo, Muda 29,03
Halmashauri zote nchini Tanzania zinapaswa kutenga asilimia mbili ya mapato yake kwa ajili ya walemavu.
Sikiliza, Ni kwa namna gani uwepo wa sheria ya umiliki wa ardhi inamuwezesha mwanamke kupata haki hiyo?, Muda 29,09
Serikali inafanya nini kuhakikisha sheria ya umiliki wa ardhi inawafaidisha wanawake.
Global Newsbeat
Sikiliza, Mbao zinazotengenezwa kwenye mahabara, Muda 2,01
Mwanasayansi wa Marekani Ashley Beckwith amesema yuko mbioni na mpango wa kuzalisha mbao kwenye mahabara bila jua au mchanga.
Katika Picha: Mapokezi ya mwili wa Maalim Seif Zanzibar
Katika Picha: Mapokezi wa mwili wa Maalim Seif Zanzibar
'Hupaswi kuwa muoga ukivua papa'
Idadi ya papa nchini Congo-Brazzaville wako hatarini kutoweka hivyo wavuvi inawawia vigumu kuvua mpaka wawatafute katika kina kirefu.
Dira TV
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 8 Machi 2021, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 8 Machi 2021, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 8 Machi 2021, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Wiki Hii, 07:00, 6 Machi 2021, Muda 29,00
Kipindi cha yaliyojiri wiki nzima kinachokujia kila Jumamosi saa kumi na mbili asubuhi Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
Jinsi mji wa Kenya ulivyobadilika na kuwa 'Italia ndogo'
Katika msururu wa barua kutoka kwa waandishi wa Afrika , Ismail Einashe anachukua likizo katika pwani ya kenya , lakini baadaye anashangaa iwapo ameasifiri katika taifa jingine.
Vyakula vinavyoweza kukusaidia kuwa na nywele ndefu na za kuvutia
Ni ndoto ya wengi hasa akina dada kuwa na nywele ndefu na zenye afya lakini sio kila mmoja ana bahati ya kuzipata bila kutumia kemikali ama mafuta aina mbali mbali.
Mizozo ya mipaka: Fahamu mataifa ya Afrika yanayolumbana kuhusu mipaka
Nchi kadhaa za Afrika zipo katika migogoro ya mipaka na kutishia usalama pamoja na kutia hatarini uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo .
Fahamu changamoto za Trump katika kumkabidhi rais Biden 'sanduku la nyuklia'
Ni mojawapo ya matukio ambayo hayakuangaziwa hadharani , lakini ni muhimu katika hatua ya rais mmoja kumkabidhi mamlaka rais mpya nchini Marekani.
Hospitali ya Muhimbili yazindua mashine ya kujifukiza Tanzania
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili hii leo imezindua rasmi mashine maalumu ambayo itatumika kutoa huduma za kujifukiza katika hospitali hiyo kuu ya rufaa nchini Tanzania.
Chombo cha anga za mbali cha bilionea Elon chalipuka
Chombo cha anga za mbali cha Elon Musk kimefanikiwa kukamilisha jaribio la kupaa lakini kikajiangamiza chenyewe kwa kupasuka vipande vipande.
Mtandao wa kutengeneza chanjo bandia ya Covid-19 ulivyovunjwa Afrika Kusini, China
Polisi nchini China na Afrika Kusini wamekamata maelfu ya dozi feki za chanjo ya Covid-19 na kuwakamata wahusika, Polisi wa kimataifa, Interpol wameeleza.
Daktari ajiunga na kesi mtandaoni akimfanyia mgonjwa upasuaji
Daktari mmoja, katika jimbo la California alijiunga na kesi ya uvunjifu wa sheria barabarani kupitia mtandao wa Zoom huku akimfanyia mgonjwa upasuaji.
Mfahamu zaidi mrithi wa Maalim Seif Zanzibar na changamoto zilizo mbele yake
Jina lake lilianza kugonga vichwa vya habari nje ya Zanzibar wakati Bunge Maalumalipokuwa akijadili rasimu ya katiba mpya mwaka 2014 wakati wa utawala wa Rais Jakaya Kikwete.
Aliyetupwa katika jalala la takataka sasa ni milionea
Freddie Figgers alikejeliwa kama mtoto "aliyenenepeana kwa kula " vyakala vyenye mafuta lakini aligeuka kuwa milionea mbunifu.
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.