BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja Jinsi Zelensky anavyopambana na changamoto ya vita vya Magharibi
Kiongozi wa Ukraine amekuwa akifanya kampeni za kutafuta usaidizi bila changamoto zozote - sasa inabidi ajadiliane.
Afya: Maumivu ya tumbo na ni wakati gani unastahili kutafuta msaada
Unapaswa kuona daktari kwa maumivu ya tumbo ikiwa ni maumivu makali au ya chini ya tumbo ya muda mrefu zaidi ya wiki.
Mwanaume wa Ghana aliyekabiliana na utumwa atuzwa nchini Uingereza
Quobna Cugoano alitekwa an kufaywa mtumwa akiwa na miaka 13 lakini baadaye alikuwa kiungo muhimu katika harakati za kupinga utumwa.
Tetesi za soka Ulaya Jumapili 24.09.2023
Ivan Toney yuko tayari kuondoka Brentford, Arsenal wanamfuatilia Ousmane Dembele, Bruno Guimaraes kuongeza mkataba wa Newcastle na mengi zaidi.
Simulizi ya kusikitisha ya uraibu wa dawa za kutuliza maumivu
Helen Dews anasema anajifunza upya yeye ni nani baada ya kutegemea kwa muda mrefu dawa za maumivu ya opioid.
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 23.09.2023
Mlinda lando wa Hispania David de Gea, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Manchester United msimu wa joto.
Je, ni washambuliaji gani hatari zaidi kwenye ligi ya Premier? Haland, Salah, Nunez, Ferguson
Kando ya ujio wa hivi majuzi wa Haaland, Son Heung-min wa Tottenham bila shaka amekuwa mmaliziaji bora wa Ligi Kuu kwa misimu iliyopita.
Man Utd: Ole Gunnar Solskjaer awakosoa baadhi ya wachezaji wa klabu hiyo wakati akiwa kocha Old Trafford
"Wengine hawakuwa wazuri kama mtazamo wao wenyewe," Solskjaer, 50, aliiambia The Athletic.
Ligi ya mabingwa yarejea – habari zote muhimu unazopaswa kujua
Ligi ya Mabingwa bila Messi wala Ronaldo; timu gani inatarajiwa kubeba kombe msimu huu?
AFCON 2024 Ivory Coast: Zijue nchi 24 zilizofuzu kombe la Afrika
Unazijua nchi zote zitakazo shiriki? Unavijua viwanja vitakavyo tumika?
Ni wachezaji gani wamejiunga na timu za Saudi Arabia msimu huu?
Ni wachezaji gani wamejiunga na timu za Saudi msimu huu?
Shambulio la Westgate nchini Kenya: Jinsi manusura alivyopona
Shamim Alu alikuwa akitembea kwa magongo baada ya wanamgambo kumpiga risasi kwenye jumba la maduka la Westgate nchini Kenya miaka 10 iliyopita.
Zuio la kuvua dagaa Ziwa Victoria linavyowaathiri wafanyabiashara Tanzania
Lakini baadhi wanahoji kwanini zoezi hilo linahusisha dagaa peke yake na kuacha aina nyingine ya Samaki ziwani humo?
Zanzibar: 'Huku ukipoteza pesa, tangazo litapelekwa mpaka redioni mpaka uzipate pesa zako'
Je umewahi kufanyiwa ukarimu? hilo jambo la kawaida kwa wengi waishio Zanzibar
Jinsi akili mnemba inavyoweza kutatua tatizo la ugumba
Katika kipindi cha miaka 50 iliyopita idadi ya mbegu za kiume zimepungua kwa asilimia 51
Msaani Ney wa Mitego afungiwa kufanya maonesho Tanzania
Msaani Ney wa Mitego afungiwa kufanya maonesho Tanzania
Mgahawa wenye wahudumu wenye ulemavu wa kutosikia
Je umejifunza lugha ya ishara au bado? Iwapo hujajifunza basi huenda ukawa huna bahati ya kula Ice cream tamu kutoka katika mgahawa mmoja nchini Uganda ambao wateja wake huagiza chakula na vinywaji kwa kutumia lugha ishara.
Video za TikTok za watoto waliouawa zilivyozitisha familia zao
Wazazi waliofiwa na watoto wao wameonyeshwa kuchukizwa na kuenea kwa video za kutatanisha kwenye jukwaa la TikTok zinazotolewa kwa kutumia teknolojia ya Akili Bandia kuonyesha watoto halisi ambao walikuwa waathiriwa wa mauaji.
Taarifa kuhusu Coronavirus
Janga la Corona miaka miwili: Mambo matano tuliyojifunza
Mnamo Machi 11, 2020, Shirika la Afya Duniani lilitangaza rasmi mlipuko wa Covid-19. Hivi ndivyo mambo yalivyobadilika
'Covid ilinihofisha nikagandisha yai langu'
Kliniki zinazoongoza za uzazi nchini Uingereza zinaendelea kushuhudia ukuaji wa matibabu ya kugandisha yai.
Omicron na Delta zasababisha tsunami ya kesi za covid-WHO
Walakini, Dk Tedros aliwaambia waandishi wa habari kampeni kubwa nchi tajiri kutoa chanjo za ziada "zina uwezekano wa kuongeza muda wa janga hili", kwani wanaelekeza vifaa kutoka kwa nchi masikini, ambazo hazina chanjo,
Kwa nini Afrika imeshindwa kufikia lengo la chanjo ya kimataifa
Lengo la kufikia 40% ya viwango vya chanjo kamilifu katika kila nchi hadi kufikia mwisho wa mwezi Disemba halijafanikiwa barani Afrika.
Nitajitunza vipi baada ya kupata Covid?
Ni lini inafaa kuondoka kwenye kiti au kitanda ?
Dalili za Omicron: Je mafua ni dalili ya virusi vya corona?
Je mafua yanaweza kuwa dalili ya Omicron?
Tuyajenge

“Baba alisema hasomeshi mtoto wa kike akihofia kupata hasara"
Tanzania inatajwa kuwa na asilimia 31 ya ndoa za wasichana chini ya umri wa miaka 18, Mila na Tamaduni zinaonekana kuwa kikwazo cha kufikia mapambano dhidi ya ndoa za utotoni.
Global Newsbeat
Dira TV

DIRA YA DUNIA IJUMAA 22/09/2023
Matangazo ya Dira ya Dunia TV na Peter Mwangangi.
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 25 Septemba 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 22 Septemba 2023, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 22 Septemba 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 22 Septemba 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
Muuaji sugu aliyeua watu 12,waume zake wanne na mama mkwe
Nancy, ambaye alionekana kuwa mnene, alikuwa mcheshi na mwenye furaha kila wakati, lakini nyuma ya tabasamu hilo kulikuwa na msururu wa vifo vilivyotokea kwa kipindi cha miongo miwili na nusu.
Afcon 2023: Ratiba, tarehe na droo za wachezaji (wakiwemo Mohamed Salah na Andre Onana)
Timu zinazoelekea Ivory Coast kwa fainali zimeshathibitishwa, lakini je unafahamu ni lini kombe la mataifa bingwa Afrika litachezwa na namna zinavyowaathiri wachezaji na vilabu katika ligi kuu ya England na kote duniani?
Jinsi mitambo ya kufuatilia silaha za nyuklia ilivyogundua nyangumi wa buluu
Nyangumi wa buluu wana uhusiano gani na silaha za nyuklia?
Kwanini Poland imeamua kusitisha msaada wa silaha kwa Ukraine?
Ni kwa namna gani mzozo wa nafaka umepelekea Poland kusitisha msaada wa silaha kwa Ukraine?
Jinsi ya kumsaidia mtoto mwenye tabia ya haya
Je, watu huzaliwa na tabia ya haya au huibuka wakati wa ukuaji wao?
Nagorno Karabakh: Mambo 5 ya kuyajua kuhusu mgogoro wa tangu enzi ya Soviet
Kwanini Armenia na Azerbaijan zinagombania eneo hili?
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.