BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja Vikosi vya Ukraine vyaripoti kupiga hatua kuelekea Bakhmut
Ukraine imesema kuwa vikosi vyake vinaelekea katika eneo la Bakhmut.
Maelezo zaidi kuhusu taarifa hii
Uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam: Serikali ya Tanzania yazungumza
Serikali ya Tanzania imejikuta ndani ya mjadala mzito wenye misingi ya uwekezaji katika bandari za nchi hiyo, ambazo ni moja ya rasilimali muhimu za kiuchumi, huku Mamlaka ya usimamizi wa Bandari TPA ikilazimika kutoa taarifa ya ufafanuzi kwa umma usiku wa kuamkia hii leo.
Kwa nini wazalishaji wakuu wa mafuta duniani wanapunguza usambazaji wa bidhaa hiyo?
Wachambuzi wa wa masuala ya biashara ya mafuta hawatarajii kupunguzwa kwa hivi karibuni kusababishe kupanda kwa kasi kwa bei ya mafuta ghafi duniani.
Je, uvamizi wa Ukraine umeanza? Wanajeshi na wataalamu wanasema nini juu yake
Idadi ya wanajeshi wa Ukraine iliongezeka katika mikoa ya Donetsk na Zaporozhye. Wizara ya Ulinzi ya Urusi Jumapili jioni ilisema kwamba Ukraine ilijaribu kushambulia kuelekea Donetsk Kusini, jimbo ambalo linadaiwa kukaliwa na vikosi vya Urusi.
Tazama: Wizi wa pombe dukani wamtumbukia nyongo
Kanda za CCTV zilimnasa mwizi mmoja aliyejaribu kuiba pombe katika duka moja la kuuza pombe karibu na eneo la Perth, Australia.
Uchaguzi wa Nigeria 2023

Ni nani yuko kwenye kinyang'anyiro cha kuiongoza Nigeria?
Wafahamu wagombeaji walio kwenye kinyang'anyiro cha kuiongoza Nigeria katika uchaguzi wa Februari mwaka huu
Erling Haaland, Vinicius Jr na Bukayo Saka waorodheshwa kama wachezaji 'ghali zaidi ulimwenguni' na watafiti
Mshambulizi wa Manchester City Erling Haaland ndiye mchezaji ghali zaidi duniani akiwa na thamani ya euro 245.1m (£211.2m), utafiti mpya unasema.
Yanga mbioni kuandikisha historia
Timu hiyo inaendelea na mazoezi huku hamasa ikiwa ni kubwa.
Kwanini Tanzania, Uganda na Kenya zinapigania kuandaa AFCON 2027?
Tangu yaanzishwe miaka 66 iliyopita, Uganda imefuzu mara 7 AFCON, Kenya mara 6 na Tanzania mara 2 pekee.
'Arteta amezaliwa kuwa Kocha'
'Arteta amezaliwa kuwa Kocha'
Vinicius jr: Mfahamu mchezaji wa Real Madrid aliyezua mjadala wa ubaguzi wa rangi Uhispania
Ubaguzi wa rangi katika soka ni suala la aibu ambalo limeathiri mchezo huo mzuri kwa miaka mingi na, ingawa kumekuwa na dalili za kuimarika, wanasoka katika ligi kote ulimwenguni na katika kandanda ya kimataifa wamekuwa wakikabiliwa na unyanyasaji wa kuchukiza.
Chef Ali: Mpishi aliyejizolea umaarufu mitandaoni kutokana na upishi wake
Chef Ali kama anavyofahamika kwa umaarufu hupika vyakula vya asili.
Teknolojia ya simu inayotumika kuelimisha watu kuhusu utalii wa Tanzania
Tanzania ni moja ya nchi duniani zinazotegemea sana utalii katika kujipatia mapato yake, na hutumia njia nyingi kufanya hivyo.
Tazama: Meli ya kivita ya China yaitishia ile ya Jeshi la Wanamaji la Marekani katika mkondo wa bahari wa Taiwan
Tazama: Meli za kivita za China zikikaribia sana Jeshi la Wanamaji la Marekani katika Mlango wa Bahari wa Taiwan
Tazama: Mafunzo kwa vitendo kukabili changamoto ya ajira Tanzania
Chuo kikuu cha Stella Maris kilichopo mkoani Mtwara kinanatoa mafunzo maalumu ya ubanguaji na uchakataji wa korosho.
"Nilikuwa nikiuchukia uso wangu lakini sasa najivunia"
"Wazazi wangu walionizaa walishtushwa na sura yangu na waliniacha saa 36 baada ya kuzaliwa kwangu. Hiyo ilikuwa ngumu."
Taarifa kuhusu Coronavirus
Janga la Corona miaka miwili: Mambo matano tuliyojifunza
Mnamo Machi 11, 2020, Shirika la Afya Duniani lilitangaza rasmi mlipuko wa Covid-19. Hivi ndivyo mambo yalivyobadilika
'Covid ilinihofisha nikagandisha yai langu'
Kliniki zinazoongoza za uzazi nchini Uingereza zinaendelea kushuhudia ukuaji wa matibabu ya kugandisha yai.
Omicron na Delta zasababisha tsunami ya kesi za covid-WHO
Walakini, Dk Tedros aliwaambia waandishi wa habari kampeni kubwa nchi tajiri kutoa chanjo za ziada "zina uwezekano wa kuongeza muda wa janga hili", kwani wanaelekeza vifaa kutoka kwa nchi masikini, ambazo hazina chanjo,
Kwa nini Afrika imeshindwa kufikia lengo la chanjo ya kimataifa
Lengo la kufikia 40% ya viwango vya chanjo kamilifu katika kila nchi hadi kufikia mwisho wa mwezi Disemba halijafanikiwa barani Afrika.
Nitajitunza vipi baada ya kupata Covid?
Ni lini inafaa kuondoka kwenye kiti au kitanda ?
Dalili za Omicron: Je mafua ni dalili ya virusi vya corona?
Je mafua yanaweza kuwa dalili ya Omicron?
Maswali yako matano kuhusu kirusi hatari cha corona yajibiwa
Mara tu omicron kilipotajwa kuwa aina ya kirusi kipya tarehe 26 Novemba, mjadala kuhusu kiruisi hiki ulichacha kwenye mitandao.
Ramani mubashara hali ya coronavirus duniani
Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica
Tuyajenge
Global Newsbeat
Dira TV

Video, Matangazo ya Dira ya Dunia TV Jumanne 06/06/2023, Muda 28,00
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Jumanne 06/06/2023
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 8 Juni 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 7 Juni 2023, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 7 Juni 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 7 Juni 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
'Ngozi yangu nyeusi inasema mimi si kitu'
Mnamo Februari, Rais Kais Saied aliamuru "hatua za haraka" dhidi ya wahamiaji wa Kusini mwa Jangwa la Sahara
Tunachojua kuhusu shambulio la bwawa la Nova Kakhovka
Bwawa kubwa katika eneo linalodhibitiwa na Urusi kusini mwa Ukraine limeharibiwa na kusababisha mafuriko ya maji.
Waridi wa BBC: ‘Sikuweza kutembea kwa miaka miwili baada ya kufungwa minyororo miguuni’
Phanice Favor alizaliwa na matatizo, miguu yake miwili ikiwa imejipinda (Clubbed feet ).
Kwa nini China inachimba kisima chenye kina cha kilomita 11 ardhini?
Mradi huo unatajwa kuwa ndio mradi mkubwa zaidi wa uchimbaji madini nchini China huku ukitarajiwa kukamilika kwa muda wa siku 457, ambapo wafanyakazi watashughulika usiku na mchana wakiwa na mashine nzito.
Jason Derulo: Uwekezaji wangu wa biashara 'usiopendeza' katika kuosha magari
Nyota wa muziki wa Pop Jason Derulo ni maarufu kwa nyimbo zake maarufu na video za TikTok, lakini siku hizi anahisi kuwa mfanyabiashara sawa na mwanamuziki.
Vita vya Ukraine: Je, makombora ya Storm Shadow ya Uingereza yanaweza kubadilisha vita?
Kwa kuzingatia umbali wa kombora, wapangaji wa kijeshi wa Urusi watahitaji tena kufikiria jinsi ya kulinda vyema vifaa, vituo vyao na vifaa vilivyowekwa nyuma ya mstari wa mbele.
Mswada wa Fedha:Wabunge wa Kenya katika njia panda kuhusu kuongeza ushuru zaidi au afueni kwa wananchi
"Baadhi yenu viongozi mnadanganya Wakenya, lakini fahamuni kwamba ikiwa mbunge wenu anapinga Mswada wa Fedha, hafai kuuliza barabara,"-Gachagua
Tazama kilichotokea baada ya ndege za kivita za China na Marekani kukutana angani
Jeshi la Marekani limetoa video inayoonyesha ndege ya kivita ya China iliyogongana na ndege ya kivita ya Jeshi la Anga la Marekani.
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.