BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja Tanzania kurejesha wafungwa wa Ethiopia
Rais wa Ethiopia Salhe -Work Zewde atakuwa na ziara ya siku moja nchini Tanzania
Maelezo zaidi kuhusu taarifa hii
Je, Rais Tshisekedi amefanikiwa kuzitatua changamoto muhimu DRC?
Watu wa kawaida walitumaini kuwa Felix Tshisekedi angebadilisha maisha yao alipokuwa rais , lakini je amefanya nini tangu aingie madarakani?
'Mke wangu alikufa wakati akijifungua mapacha tukiwa tumejificha'
Baba wa watoto hao ameiambia BBC hadithi yake ya kusikitisha wakati alipotoroka mzozo katika jimbo la Ethiopia la Tigray.
Frank Lampard atimuliwa Chelsea
Mechi yake ya mwisho kama kocha wa miamba hiyo ya London ulikuwa Jumapili wakishinda 3-1 dhidi ya Luton kwenye michuano ya FA.
Taifa ambalo ‘ruksa kufanya ngono na mtoto mwenye miaka 12’
Wataalamu wanasema kuwa idhini katika masuala ya kujamiiana iko chini nchini Ufilipino ambapo afya za watoto zinakuwa hatarini na pia kuchangia ongezeko la unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto.
Akina nani wanaunda Bunge la Uganda na ipi ni nguvu na udhaifu wake?
Uchaguzi huu umeipa NRM nafasi ya kutamba bungeni, ikiwa imesambaratisha wapinzani wake katika mikoa ya Kaskazini mwa taifa hilo.
China yaipiku Marekani kama kivutio cha uwekezaji duniani
China imeipku Marekani kama eneo linalolengwa na uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni kulingana na takwimu za UN zilizotolewa siku ya Jumapili.
Sikiliza, Mtanzania awa Mwafrika wa kwanza kutwaa tuzo ya Brady, Muda 2,51
Mtanzania Joyce Singano, ametwaa tuzo maarufu ya Brady Medal inayotolewa kwa wataalam watafiti wa miamba.
Video, 'Mimi ni mwanamke anayewindwa sana duniani na wahalifu', Muda 5,31
Mfahamu Jane Mugo, mpelelezi binafsi aliyesaidia mamia ya kesi ndani na nje ya Kenya.
Uchaguzi wa Uganda 2021
Bofya hapa kwa taarifa za kina kuhusu uchaguzi wa Uganda.
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 25.01.2021
Arsenal imeafikia makubaliano ya kumsani kiungo wa kati wa Norway Martin Odegaard, 22, kwa mkopo kutoka kwa Real Madrid. (Mail)
Mesut Ozil: Kiungo wa kati wa Arsenal ajiunga na Fenerbahce
Kiungo wa kati wa Arsenal Mesut Ozil amekamilisha mchakato wa kujiunga na Fenerbahce ya Uturuki.
Je Ronaldo amefikia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi duniani?
Cristiano Ronaldo kwa sasa ndio mfungaji wa magoli mengi katika historia ya soka duniani kulingana na ripoti baada ya kufunga bao lake la 759 akiichezea Juventus dhidi ya Sassuolo ambapo timu yake iliibuka na ushindi wa magoli 3- 1. Lakini je ni kweli?
Simba yapangiwa tena Al-Ahly, Vita Club
Droo ya makundi ya Klabu Bingwa barani Afrika imepangwa hii leo ambapo wawakilishi pekee wa Afrika Mashariki Simba SC wamepangwa katika kundi la A Pamoja na mabingwa wa Afrika Al Ahly ya Misri.
Je hawa ndio wachezaji wanaosakwa na kila timu England
Wakati nusu ya kwanza ya msimu wa 2020-21 wa Ligi Kuu ya England unakaribia kumalizika, timu zinazoshiriki ligi hiyo bila shaka zimeanza kutafakari ni wapi vikosi vyao vinahitaji kuimarishwa.
Nataka kwenda kucheza soka Marekani - Messi
Nahodha wa Barcelona Lionel Messi amesema kwamba anatumai ataelekea kuendeleza soka yake Marekani wakati kandarasi yake itakapokamilika mwezi Juni.
Video, Mbwa anyakua kiatu cha mchezaji baada ya kuvamia uwanja wa soka Bolivia, Muda 0,34
A dog paused a football game for three minutes, as it ran around with a football boot in its mouth.
Jedwali la Msimamo wa Ligi ya EPL 2020/21
Msimamo wa Ligi kuu ya England kufikia tarehe 14/01/2019.
Video, 'Njia yangu bora ya kukata uchovu wa pombe ni maziwa ya mama anayenyonyesha', Muda 1,59
Baadhi ya wanaume wa Tanzania wanaonyonya maziwa ya wake zao 'kukata uchovu wa pombe' wamezungumza na mwandishi wa BBC Hamfrey Mgonja.
Video, Mke wa rais mteule Jill Biden ni mtu wa namna gani?, Muda 1,48
Mke wa Rais mteule Biden ni mtu wa namna gani?
Sikiliza, 'Hakuna aliyeathirika na ulaji wa nguruwe kufikia sasa', Muda 2,55
Serikali ya Tanzania imeanza kuchunguza kiini cha homa ya nguruwe, iliyoibuka mkoani Shinyanga eneo la Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo.
Video, Waangalizi wa Afrika Mashariki: Uchaguzi wa Uganda ulikuwa wa huru na haki, Muda 4,45
Kwa ujumla uchaguzi uliongozwa kwa njia ya amani, bila purukushani wala ghasia yeyote.
Video, Bobi Wine ataka watu wasubiri majibu kutoka kwa mawakala, Muda 0,30
Mgombea wa urais Bobi Wine ambaye alikuwa na wafuasi wengi vijana anasema atawaarifu watu kitakachofuata baada ya wakala kuja na majibu.
Video, Bobi Wine aiomba Tume ya Uchaguzi kuheshimu sauti ya waganda, Muda 0,55
Mgombea wa urais Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine ameiomba Tume ya uchaguzi kuheshimu sauti ya watu wa Uganda.
Video, Zoezi la upigaji kura likiendelea Uganda, Muda 0,54
Katika picha raia wa Uganda wakipiga kura
Video, Kuzimwa kwa mitandao ya kijamii Uganda kuna athari gani?, Muda 2,14
Maoni ya wakazi mbalimbali kuhusu hatua ya kuzimwa kwa mitandao ya kijamii.
Video, Mambo matano unayopaswa kufahamu kuhusu uchaguzi wa Uganda, Muda 3,45
Raia wa Uganda watapiga kura tarehe 14 Januari, mwaka 2021.
Taarifa kuhusu Coronavirus
Aina mpya ya virusi vya corona: Je, tunajua nini?
Aina mpya ya virusi vya corona imekuwa ni ya kawaida ya virusi katika maeneo ya Uingereza
Ukipata maambukizi ya corona unaweza kuwa na kinga kwa miezi 5
Watafiti wanaonya kwamba bado kuna uwezekano wa kupata maambukizi na kuyasambaza kwa wengine.
Chanjo inayoweza kuzuia corona kwa 90% imepatikana
Chanjo ambayo inaonesha hatua kubwa ya kurejesha maisha kurudi kuwa kawaida ,ingawa changamoto zinaweza kusalia.
Sababu 5 kwanini Afrika haikuathirika sana na virusi vya corona
Nchi nyingi za Afrika zimesifiwa kwa kuzuia kusambaa kwa virusi vya corona licha ya mifumo ya afya katika baadhi ya nchi hizo kuwa mbaya.
Je wajua kuna 'aina tofauti' za corona?
Uchambuzi wa watafiti katika chuo cha King's College mjini London nchini Uingereza umeweza kuigawanya Covid-19 katika "aina " sita, kila aina ikitengwa kulingana na upekee wa dalili zake.
Ukweli kuhusu majira ya baridi na joto kuhusu corona
Magonjwa mengi ya maambukizi hutokea wakati tofauti katika mwaka.
Haba na Haba Redio
Sikiliza, Tanzania: Changamoto kwa watu walemavu kupata mkopo, Muda 29,03
Halmashauri zote nchini Tanzania zinapaswa kutenga asilimia mbili ya mapato yake kwa ajili ya walemavu.
Sikiliza, Ni kwa namna gani uwepo wa sheria ya umiliki wa ardhi inamuwezesha mwanamke kupata haki hiyo?, Muda 29,09
Serikali inafanya nini kuhakikisha sheria ya umiliki wa ardhi inawafaidisha wanawake.
Global Newsbeat
Sikiliza, Mbona Lil Wayne alipewa msamaha na Donald Trump, Muda 2,00
Nyota wa rap Lil Wayne na Kodak Black walikuwa kwenye orodha ya watu zaidi ya 140 ambao walipewa msamaha na Rais wa Marekani anayemaliza muda wake Donald Trump
Kwa Picha: Tazama Rais Donald Trump akiondoka katika Ikulu ya White House
Rais Donald Trump hatimaye ameondoka katika Ikulu ya White House ili kutoa fursa kwa rais mteule Joe Biden kuapishwa kuwa rais mpya na kuwa mpangaji mpya wa jumba hilo kwa muda wa miake minne ijayo
Dira TV
Video, Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 22/01/2021, Muda 23,41
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 22/01/2021 na Zuhura Yunus
Vipindi vya Redio
Dira Ya Dunia, 18:29, 25 Januari 2021
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Amka Na BBC, 06:59, 25 Januari 2021
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Amka Na BBC, 05:59, 25 Januari 2021
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
MBELE Amka Na BBC, 05:59, 26 Januari 2021
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
‘Hakuna uhakika chanjo zinazotolewa zina kinga thabiti’
Naibu wa afisa mkuu wa matibabu Uingereza amesihi wale ambao washapata chanjo waendelee kufuata kanuni za wizara ya afya.
Kimbunga Eloise chasababisha mafuriko mabaya Msumbiji
Zaidi ya nyumba 1000 zimengamizwa vibaya na nyengine 3000 kuharibiwa kabisa , maafisa wanasema.
Wake wengi wa marais walitegemea nguvu ya mume 'rais’
Mtunzaji wa makumbusho Gwendolyn DuBois Shaw amezungumza na BBC kuhusu utamaduni wa wake za marais tangu mwanzo na jinsi ulivyobadilika.
Biden aomba msamaha juu ya wanajeshi kulala eneo la kuegesha magari
Picha za mamia ya wanajeshi wa kulinda usalama wakiwa wamelala eneo la kuegesha magari zilisababisha hasira miongoni mwa wabunge.
Kiongozi wa Iran atishia kumshambulia Trump
Picha kwenye tovuti yake rasmi inamuonesha Donald Trump akicheza gofu katika kivuli cha ndege ya kivita au ndege kubwa isiyo na rubani.
Marekani yawaondolea Watanzania marufuku ya viza ya bahati nasibu
Marufuku aliyoiondoa Biden iliwekwa mwaka uliopita na utawala wa Trump.
Afrika itasubiri muda mrefu kupata chanjo
Afrika itasubiri "wiki kama sio miezi kabla ya kupata chanjo zilizoidhinishwa na WHO maafisa wameeleza.
Uingereza yapiga marufuku abiria kutoka Tanzania, DRC
Uingereza yapiga marufuku abiria kutoka Tanzania na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuzuia maambukizi ya aina mpya ya virusi vya corona.
Mataifa 10 yenye pasi zenye uwezo mkubwa Afrika
Jinsi pasi ya kusafiria ya taifa lako inavyoweza kukuingiza katika mataifa mengi bila kutumia visa ndivyo jinsi kibali hicho kilivyo na uwezo.
Je, siasa za upinzani ni hatari kiasi gani Afrika Mashariki?
Mara baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 28 mwaka 2020, aliyekuwa mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, alitangaza kwamba maisha yake yako hatarini na akaamua kuondoka nchini kwenda kutafuta hifadhi ya kisiasa ughaibuni.
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.