BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja Hasira za upinzani zatikisa Kenya na Afrika Kusini
Kenya na Afrika Kusini zipo katika hali ya wasiwasi leo Jumatatu kutokana na wito wa maandamano yaliyopangwa huku vyama vya upinzani katika nchi zote mbili vikiwataka watu wasifanye kazi.
Maandamano ya kila mara baada ya uchaguzi Kenya: Faida au hasara?
Raila Amollo Odinga, ndiye mwanasiasa pekeee wa Kenya aliye hai, ambaye amewahi kushikilia cheo cha Waziri Mkuu nchini Kenya.
Kwa nini Marekani na washirika wake waliivamia Iraq, miaka 20 iliyopita?
Marekani na washirika watatu waliivamia Iraq miaka 20 iliyopita, lakini nchi nyingi zilipinga vita hivyo.
Kutoka kuwa mpishi wa Putin hadi mkuu wa jeshi la kibinafsi la Urusi
Yevgeny Prigozhin ameibuka kama mhusika mkuu katika uvamizi kamili wa Urusi dhidi ya Ukraine, akisimamia jeshi la kibinafsi la mamluki wanaoongoza mashambulizi ya Urusi katika maeneo muhimu ya vita.
Pini ya usalama: Kifaa kidogo ambacho wanawake wa Kihindi hutumia kupigana na unyanyasaji wa kimapenzi
Takriban kila mwanamke nchini India ana hadithi ya unyanyasaji wa kijinsia ambayo ilifanyika katika maeneo ya umma yenye watu wengi - mtu alipompapasa matiti yake au kumshika makalio, kumpiga kiwiko kifuani au kujisugua kwenye mwili wake
Ziara ya Putin nchini Ukraine ilikuwaje?
Akiwa anaendesha gari katika jiji hilo lililoshambuliwa sana usiku, Rais wa Urusi Vladimir Putin alifanya ziara yake ya kwanza huko Mariupol - ulioharibiwa wakati vikosi vya Urusi viliuzunguka mji huo mwanzoni mwa vita.
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 20.03.2023
Aston Villa wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku, 29, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo huko Inter Milan akitokea Chelsea.
Maandamano ya upinzani Afrika, ni sawa na vuguvugu la`Arab Spring`?
Nchi kadhaa barani Afrika zimeandamwa na maandamano ya umma. Licha ya tafauti za mazingira au niseme chanzo na sababu za matukio hayo, lakini moja linalofanana ni malalamiko dhidi ya serikali zilizo madarakani kushindwa kutimiza ahadi zilizo na zinazoendelea kutolewa.
Uchaguzi wa Nigeria 2023

Ni nani yuko kwenye kinyang'anyiro cha kuiongoza Nigeria?
Wafahamu wagombeaji walio kwenye kinyang'anyiro cha kuiongoza Nigeria katika uchaguzi wa Februari mwaka huu
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 19.03.2023
Meneja wa Manchester United Erik ten Hag yuko mbioni kuongezewa mkataba wa miaka mitatu, licha ya mazungumzo yanayoendelea kuhusu uwezekano wa kuuzwa kwa klabu hiyo.
Timu 48 na mechi zaidi: Mpango mpya wa Kombe la Dunia la 2026
Fifa imebadilisha mfumo wa mechi za kombe la dunia mwaka 2026, ambalo litakuwa la kwanza kufanyika wakati timu 48 zitahudhuturia katika makundi 12 ya timu nne.
Droo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa: Chelsea kucheza na Real Madrid, Man City v Bayern Munich
Real Madrid ndio timu iliyofanikiwa zaidi katika historia ya mashindano hayo baada ya kushinda mara 14
Arsenal yatupwa nje Uropa: Je, kuondolewa huku kutaathiri vipi mbio za kuwania ubingwa wa EPL?
Matumaini ya Arsenal kushinda taji la barani Ulaya yaligonga mwamba usiku wa Alhamisi baada ya kushindwa na Sporting Lisbon - lakini je, mwishowe kushindwa huko kunaweza kuwa baraka?
Chelsea: Graham Potter chini ya shinikizo - apewe muda hadi lini?
Chelsea wameshinda mara mbili pekee katika michezo 15 iliyopita katika michuano yote na wamefunga idadi ndogo ya mabao kati ya timu za Premier League tangu Novemba
Mshambuliaji wa Arsenal aliyemzidi Mbappe kwa ufungaji magoli
Je, umesikia kuhusu yule chipukizi wa Uingereza anayewazidi Kylian Mbappe, Lionel Messi na Neymar kule Ufaransa - na ambaye anatazamiwa kuipa Arsenal "maumivu ya kichwa"?
Video inaonyesha jinsi ndege ya Urusi ilivyoigonga ndege isiyo na rubani ya Marekani
Marekani ililazimika kuiangusha ndege hiyo isiyo na rubani ndani ya maji baada ya kugongana kwenye Bahari Nyeusi siku ya Jumanne.
'Tunabadili dhana potofu kwamba wanawake hukutana ili kusengenya'
Bilan ni jina la kitengo cha habari cha kwanza na cha wanawake pekee cha Somalia. Bilan iliyoanzishwa mwaka wa 2022, haikutazamwa tu kama timu ambayo ingeangazia hadithi za wanawake wa Somalia, lakini pia kupambana na changamoto ambazo wanahabari wa kike wanakabiliana nazo kama vile ubaguzi wa kijinsia na unyanyasaji.
The Lion's Den: Kundi jipya la wa Kipalestina linaokabiliana na uvamizi wa Israel
Wanachama na wafuasi wake ni Wapalestina vijana, ambao wanadai kuwa juu ya mirengo ya jadi ambayo imeunda siasa za Palestina katika miongo ya hivi karibuni.
Macron na Tshisekedi wabishana hadharani juu ya Rwanda
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron amejadili hali ya usalama na Rais Félix Tshisekedi kuhusu suala la waasi wa M23.
DJ wa Tanzania aeleza ni kwanini amecheza muziki juu ya Mlima Kilimanjaro
Dj mmoja wa Tanzania amewashangaza watumiaji wa mtandao baada ya kusambaza video ambayo alikuwa akicheza muziki kwenye kilele cha mlima mrefu zaidi Afrika, Mlima Kilimanjaro.
“Maisha yangu hapa Zanzibar ni bora kuliko nchini mwangu sababu ya vita”
Orziny Kiril ni moja ya raia wa Ukraine waliokwama visiwani Zanzibar tangu vita viliponza mwezi wa pili mwaka jana.
Kwa nini ni mwiko kwa wanawake kupiga Ngoma za Burundi?
Ngoma za Burundi ni ngoma zinazopigwa kwa midundo yenye mvuto masikioni mwa yule anayezisikia na ukiwa mahala zinapopigwa bila shaka utajipata ukijaribu kufuata mdundo wake. Hatahivyo wanawake ni mwiko kuzipiga.
Tanzania yachukua hatua kupambana na mitandao ya ngono
Tanzania inatenga kiasi cha fedha kwa ajili ya kupambana na mitandao ya ngono.
'Mwanangu hupigwa na kifafa zaidi ya mara 200 kwa siku'
Kwa mijibi wa Shirika la Afya Duniani Kifafa huathiri watu milioni 50 kote duniani.
Taarifa kuhusu Coronavirus
Janga la Corona miaka miwili: Mambo matano tuliyojifunza
Mnamo Machi 11, 2020, Shirika la Afya Duniani lilitangaza rasmi mlipuko wa Covid-19. Hivi ndivyo mambo yalivyobadilika
'Covid ilinihofisha nikagandisha yai langu'
Kliniki zinazoongoza za uzazi nchini Uingereza zinaendelea kushuhudia ukuaji wa matibabu ya kugandisha yai.
Omicron na Delta zasababisha tsunami ya kesi za covid-WHO
Walakini, Dk Tedros aliwaambia waandishi wa habari kampeni kubwa nchi tajiri kutoa chanjo za ziada "zina uwezekano wa kuongeza muda wa janga hili", kwani wanaelekeza vifaa kutoka kwa nchi masikini, ambazo hazina chanjo,
Kwa nini Afrika imeshindwa kufikia lengo la chanjo ya kimataifa
Lengo la kufikia 40% ya viwango vya chanjo kamilifu katika kila nchi hadi kufikia mwisho wa mwezi Disemba halijafanikiwa barani Afrika.
Nitajitunza vipi baada ya kupata Covid?
Ni lini inafaa kuondoka kwenye kiti au kitanda ?
Dalili za Omicron: Je mafua ni dalili ya virusi vya corona?
Je mafua yanaweza kuwa dalili ya Omicron?
Maswali yako matano kuhusu kirusi hatari cha corona yajibiwa
Mara tu omicron kilipotajwa kuwa aina ya kirusi kipya tarehe 26 Novemba, mjadala kuhusu kiruisi hiki ulichacha kwenye mitandao.
Ramani mubashara hali ya coronavirus duniani
Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica
Tuyajenge
Global Newsbeat

Ulimwengu waungana kusaidia wahanga wa tetemeko la ardhi Uturuki
Tazama kwenye picha jinsi ulimwengu unavyosimama na Uturuki na Syria kufuatia tetemeko kubwa la ardhi.
Dira TV

Video, Matangazo ya Dira ya Dunia TV, Muda 26,00
Na Zawadi Machibya, Jumatatu 20.03.2023
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 21 Machi 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 20 Machi 2023, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 20 Machi 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 20 Machi 2023, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Gumzo mitandaoni
Zanzibar kuanzisha vituo maalumu vya kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia
Zanzibar ipo mbioni kuanzisha vituo maalum vya kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia, huku takwimu za mwaka 2022 zikionyesha kuongezeka kwa vitendo hivyo na kufikia 1360.
China inarekebisha jeni : Ni kwanini dunia ina wasi wasi?
Wanasayansi wanaamini kwamba magonjwa ya urithi yanaweza kutokomezwa kwa usaidizi wa urekebishaji wa vinasaba au kwa mbinu za kuhariri jeni za urithi.
Mitindo ya nywele ilivyowasaidia watumwa wa Kiaafrika huko Colombia kutoroka
Walikubaliana kwamba wangetumia kusuka, mitindo ya nywele, kama mafumbo na siri za kuonesha njia wanazopaswa kutorokea.
Madaktari wanaotoa matumaini ya uwongo kwa watu wanaokabiliwa na upofu
Madaktari kote ulimwenguni wanatoa tumaini la uwongo na matibabu ya uwongo kwa mamilioni ya watu walio na hali isiyoweza kupona ambayo inaweza kusababisha upofu.
Waridi wa BBC: Kifungo gerezani kilimsaidia kujiendeleza kimaisha
Sote tunajua kuwa maisha yanaweza kuwa magumu wakati mwingine, Simulizi na hadithi ya Emma Atieno ni mfano mzuri.
Matumizi ya Lugha
Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.
Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57
Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.