Baraka Shenouda fundi cherehani anayeshona kwa miguu
Baraka Shenouda fundi cherehani anayeshona kwa miguu
Baraka Shenouda alizaliwa bila mikono miaka 30 iliyopita nchini Misri.
Lakini anasema hilo halijamzuia kuishi maisha ya kawaida kama watu wengine walio na mikono.
Amejizolea sifa ya kuwa fundi cherehani stadi anayeshona nguo kwa kutumia miguu yake.
Sheria mpya iliyoidhinishwa hivi karibuni nchini Misri inatarajiwa kutoa nafasi nyingi za kazi kwa watu walemavu.
Baraka anajifunza kusoma na kuandika ili siku moja apate ajira na kushi maisha mazuri zaidi.

Video, Hadhara Charles Mnjeja: Mwanadada aliyemvutia Trump kwa ustadi wake wa kupepeta mpira, Muda 1,11
Video fupi inayomuonesha Hadhara Charles Mnjeja kutoka Tanzania, akipepeta mpira kwa ustadi imepata umaarufu mkubwa katika mitandao ya kijamii.