Mwandishi wa habari Erick Kabendera anyimwa ruhusa ya kumzika mama yake
Mwandishi wa habari Erick Kabendera anyimwa ruhusa ya kumzika mama yake
Mahakama nchini Tanzania imedai haina mamlaka ya kutoa amri ya Kabendera kusindikizwa chini ya ulinzi kwenda kutoa heshima za mwisho kwa marehemu mama yake mzazi.
Mwandishi wa habari Erick Kabendera anyimwa ruhusa ya kumzika mama yake
Mwandishi wa habari Erick Kabendera aliyeko rumande tangu Julai, 2019, leo mahakama imemnyima ruhusa ya kwenda kumuaga au kumzika mama yake.