Virusi vya corona: Changamoto ya kumuuguza mama wakati wa corona
Virusi vya corona: Changamoto ya kumuuguza mama wakati wa corona
Janga la Covid-19 limesababisha changamoto chungu nzima kote duniani. Lakini Sam Loko - 26, ambaye hana ajira anaishi katika kitongoji duni cha Mathare huko Nairobi nchini Kenya, anamuuguza mama yake mwenye maradhi ambayo yamekuwa vigumu kutibika hasa wakati huu wa janga la corona. Mama yake ana matatizo ya shinikizo la juu la damu, kiharusi pamoja na kupoteza fahamu na janga la corona.
Video, Virusi vya corona: Changamoto za ujauzito wakati wa corona, Muda 2,40
Kufuatia mlipuko wa virusi vya corona, akina mama wajawazito wamekumbana na changamoto zaidi kuanzia kwenye kwenye kukaa mbali na watu na huduma za afya.