Jinsi alivyonusurika kunyongwa mara kadhaa
Jinsi alivyonusurika kunyongwa mara kadhaa
Raia wa Malawi,Byson Kaula alikuwa karibu anyongwe mara tatu lakini kwa sababu moja au nyengine hilo halikutokea. Kaula amekariri kutokua na hatia na baada ya karibu na robo karne jela akaachiwa huru.
Je, unadhani adhabu ya kifo inapaswa kufutiliwa mbali?
Tuwasiliane kwenye Facebook BBCSwahili.com
Sikiliza, Wazazi waliyo na watoto walemavu Zanzibar washauriwa kutowaficha majumbani, Muda 1,25
Watoto waliyo na ulemavu wa macho visiwani Zanzibar wameibuliwa na kuandikishwa shule katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.