Tahadhari yatolewa kuhusu bangi iliyopakwa kinyesi
Tahadhari yatolewa kuhusu bangi iliyopakwa kinyesi
Watafiti nchini Uhispania waonya kwamba bangi inayouzwa mitaani nchini humo inaweza kuambukiza mtu magonjwa kwa sababu wakati mwengine walanguzi huichanganya na kinyesi ili isigunduliwe na maafisa wa salama - Je ni sheria gani inayoweza kuchukuliwa kwa watu hawa:

Mark Zuckerberg amezitaka serikali kusaidia kuweka sheria za udhibiti wa taarifa za intaneti
Mark Zuckerberg ameandika barua ya wazi akitoa wito sheria ziwekwe ili kufuatilia taarifa za intaneti