Kobe mzee azua moto nyumbani
Kobe mzee azua moto nyumbani
Kombe,45, aliye na sura ya kutisha ameokolewa baada ya kuazisha moto katika nyumba moja huko nchini Uingereza. Kobe huyo aliangusha taa ya kadili na kuuguza nyumba.

Sikiliza, Wanyama wa mwituni wapokea zawadi za krismasi, Muda 2,03
Kwa sikuu hii ya krismasi wanyama pia hawakusazwa nje katika mbuga ya wanyama huko Ufaransa ,Ujerumani ,Colombia na Zealand wamepokea zawadi za krismasi.