Je, ni hatia kwa mwanamke kumiliki mbwa?
Je, ni hatia kwa mwanamke kumiliki mbwa?
Sahba Barakzai, familia yake na mbwa wao wa miezi saba kwa jina Aseman, hutembea kukwea milima karibu na nyumba yao huko Magharibi mwa Afghanastan. Lakini ijumaa iliyopita kundi la waume liliwavamia na kumuua mbwa wao kwa kumpiga risasi kisha wakamwabia Sahba kuwa mwanamke hafai kumiliki mbwa. Je, ni hati akwa mwanamke kumiliki mbwa? sema nasi kwenye ukurasa wetu wa Facebook, BBCNewsSwahili.

Sikiliza, Mwanamuziki Joseph Shabalala afariki dunia, Muda 2,01
Joseph Shabalala, ambaye alisaidia kuanzisha sauti ya muziki wa jadi wa Kizulu ulimwenguni, amefariki akiwa na umri wa miaka 78.