Virusi vya corona: Waandisi wanaorekebisha mashine za kusaidia kupumua bila malipo
Virusi vya corona: Waandisi wanaorekebisha mashine za kusaidia kupumua bila malipo
Wahandisi wawili kutoka Nigeria wamekuwa wakitengeneza vifaa vya kusaidia kupumua vilivyoharibika bila malipo yoyote kwa hospitali moja Kaskazini mwa nchi hiyo.
William Gyang na Nura Jubril, wamegundua mashine 40 ambazo zimeharikiba ,na mpaka sasa wamefanikiwa kutengeza mashine 2 huku wakiendelea kukarabati zengine.
Sikiliza, wamiliki wa paka wajimizwa kuwafungia paka wao, Muda 2,00
Madaktari wa mifugo wamependekeza wamiliki wa paka kuwafungia wanyama wao nyumbani ili kusaidia kuzuia kuenea kwa virusi vya corona.