Msichana mmoja kutoka Rwanda akutanishwa na jamaa zake
Msichana mmoja kutoka Rwanda akutanishwa na jamaa zake
Grace Umutoni ni msichana aliepoteza wazazi wake wakati wa mauwaji wa kimbari nchini Rwanda miaka ya 1994. Hivi karibuni amefanikiwa kupatana na baadhi ya familia yake kupitia mitandao ya kijamii. Tupe maoni yako BBC swahili.
Sikiliza, EPL: Manchester City washinda Wolves kwa mabao 3 kwa 1, Muda 2,00
Manchester City wameanza mechi yao ya kwanza kuwania kombe la EPL kwa kuichabanga Wolves kwa mabao matatu kwa moja.