Mwanamuziki wa Marekani aegemea chama cha democrats
Mwanamuziki wa Marekani aegemea chama cha democrats
Mwanamuziki Taylor Swift atampigia kura Joe Biden katika uchaguzi mkuu nchini Marekani unaotarajiwa kufanyika Novemba 3.
Hapo jana Jumatano, nyota huyo,mwenye miaka 30, alitangaza kuunga mkono chama cha democrats kufuatia ujumbe aliouandika kwenye ukurasa wake wa twitter.Ametamba na kibao blank space.
Sikiliza, Rihanna ameomba msamaha kwa kutumia wimbo ulio na utata kwenye maonyesho yake, Muda 2,00
Rihanna ameomba msamaha baada ya kutumia wimbo wenye utata katika onyesho lake la hivi karibuni la mitindo la Savage X Fenty.