Buhari: Mke wangu kwake ni jikoni
Buhari: Mke wangu kwake ni jikoni
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amejibu onyo kutoka kwa mkewe ambaye alikuwa ametahadharisha kwamba hatamuunga mkono uchaguzi mkuu ujao iwapo hatafanya mabadiliko serikali.
Bw Buhari anaanza kwa kucheka kidogo kisha kusema: "Sijui mke wangu ni wa chama gani, lakini najua yeye ni wa kwangu jikoni na sebuleni na chumba hicho kingine."