Waandamanaji wapanda mgomba katikati ya barabara Nairobi

Chanzo cha picha, RamogiFM/TWITTER
Watoa huduma za usafiri wapanda mgomba wa ndizi barabarani Nairobi
Wahudumu wa magari ya usafiri nchi Kenya, yanayofahamika kama matatu wamefanya maandamano kulalamikia hali mbaya ya barabara kwenye mitaa ya mji mkuu Nairobi.
Kituo kimoja cha redio kimetuma picha ya waandamanaji wakipanda mgomba wa ndizi barabarani kwenye mtaa wa Kayole, kama njia ya kusema kuwa barabara iyo inaweza kuwa bora kwa kilimo kuliko iwe barabara ya magari.
Chanzo cha picha, RamogiFM/TWITTER
Watoa huduma za usafiri wapanda mgomba wa ndizi barabarani Nairobi