Mtoto amvua kofia Papa Francis
Mtoto amvua kofia Papa Francis
Msichana wa umri wa miaka mitatu alivua kofia ya Papa Francis kiongozi huyo wa kidini alipokuwa anawabariki watoto St Peter's Square nchini Vatican.
Msichana wa umri wa miaka mitatu alivua kofia ya Papa Francis kiongozi huyo wa kidini alipokuwa anawabariki watoto St Peter's Square nchini Vatican.