Simeon atamchagua rais mara ya kwanza Kenya
Simeon atamchagua rais mara ya kwanza Kenya
Takwimu za Tume ya Uchaguzi Kenya zinaonesha idadi kubwa ya wapiga kura nchini humo ni vijana. Tumewapata vijana watatu ambao mwaka huu itakuwa mara yao ya kwanza kupiga kura.