Ndovu amuua mwelekezi wa safari Zimbabwe

Chanzo cha picha, AFP
Ndovu amuua mwelekezi wa safari Zimbabwe
Mwelekezi mmoja wa safari ameuwawa na ndovu baada ya ndovu kumfuata nchini Zimbabwe, kwa mujibu wa kampuni moja wa kitalii.
Kampuni ya Adventure Zone ilisema kuwa ndovu huyo anayefahamika kama Mbaje alimuua Enock Kufandanda siku ya Jumapili jioni.
Ilisema kuwa Bwana Kufandada alikuwa mfanyakazi mzuri aliyekjitolea na ambaye watamkosa sana.
Gazeti moja lilisema kuwa Kufandanda alikuwa ameenda kuwachukua ndovu ili kuwatembeza.
Ndovu huyo kwa sasa ameuwawa