Ndovu amuua mwelekezi wa safari Zimbabwe

Ndovu amuua mwelekezi wa safari Zimbabwe

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha,

Ndovu amuua mwelekezi wa safari Zimbabwe

Mwelekezi mmoja wa safari ameuwawa na ndovu baada ya ndovu kumfuata nchini Zimbabwe, kwa mujibu wa kampuni moja wa kitalii.

Kampuni ya Adventure Zone ilisema kuwa ndovu huyo anayefahamika kama Mbaje alimuua Enock Kufandanda siku ya Jumapili jioni.

Ilisema kuwa Bwana Kufandada alikuwa mfanyakazi mzuri aliyekjitolea na ambaye watamkosa sana.

Gazeti moja lilisema kuwa Kufandanda alikuwa ameenda kuwachukua ndovu ili kuwatembeza.

Ndovu huyo kwa sasa ameuwawa