Farasi na punda katika uchaguzi wa urais Kenya
Farasi na punda katika uchaguzi wa urais Kenya
Katika uchaguzi wa urais Kenya utakaofanyika tarehe 8 Agosti, baadhi ya wachanganuzi wamesema ushindani mkali ni kati ya farasi wawili.
Wagombea wengine wanahisi vipi?
Kunao wanaojitazama kama punda, mwingine mbuni na mwingine kama ngamia.