Habari za Global Newsbeat 1400 24.10.2017
Habari za Global Newsbeat 1400 24.10.2017
#GNBSwahili: Marekani ni miongoni mwa mataifa ambayo hayajaharamisha ndoa za watoto. Wasichana walio na hadi miaka 13 wanashinikizwa kuolewa. Sikiliza!
#GNBSwahili: Marekani ni miongoni mwa mataifa ambayo hayajaharamisha ndoa za watoto. Wasichana walio na hadi miaka 13 wanashinikizwa kuolewa. Sikiliza!