Utafiti: Kuwa mnene au mwembamba kupita kiasi kunapunguza maisha yako kwa miaka 4
Utafiti: Kuwa mnene au mwembamba kupita kiasi kunapunguza maisha yako kwa miaka 4
Utafiti uliofanywa na Lancent Journal unaonyesha mtu kuwa na uzito wa mwili mkubwa au mdogo kupita kiasi unaweza kupunguza maisha yake kwa miaka minne. Ripoti hii ilio kubwa zaidi ilijumuisha zaidi ya watu milioni mbili. Je, waweza kupunguza uzito wako ndiposa uishi maisha marefu Zaidi? Sema nasi kwenye ukurasa wetu wa Faceboook, bbcnewsSwahili.
Sikiliza, Je unaweza kunywa kileo kilicho na panya aliyefarika anae elea?, Muda 2,01
Jumba moja la makumbusho limeanzisha aina ya chakula kisicho cha kawaida. Miongoni mwa vyakula hivyo ni pamoja na jibini iliyo na mabuu na mvinyo ulio na panya aliyekufa.