Mtoto asafiri kukutana na mwanasayansi maarufu
Mtoto asafiri kukutana na mwanasayansi maarufu
Ajay Sawant ni kijana aliye na miaka nane ambaye alienda umbali kukutana na mwanasayansi anayemuenzi Sir Martyn Poliakoff huko Nottingham. Prof Poliakoff,alimuonyesha Ajay jinsi ya kuunda athari tofauti tofauti akitumia barafu iliyoganda.
Je, uko tayari kusafiri umbali upi ili kukutana na mtu unayemuenzi?
Sema nasi kwenye facebook, bbcnewsSwahili.
Sikiliza, Meghan Markle akata mahusiano na babake tangu aolewe, Muda 2,03
Babake mke mtawala wa sussex Meghan Markle, bwana Thomas Merkle amesema hajui ni kwa nini mwanawe hajibu ujumbe zake za simu tangu aolewe na mwanamfalme Harry.