Kizungumkuti cha mwanamume anayendamwa na nyuki kila anakokwenda
Kizungumkuti cha mwanamume anayendamwa na nyuki kila anakokwenda
Gosa Taffese ana mzinga wa nyuki chumbani kwake na wadudu hao humfuata kila anakokwenda pia.
Amepewa jina “baba nyuki” na wakaazi wa eneo la Oromia nchini Ethiopia, anasema ni kizungumkuti asichokielewa kwanini nyuki wanavutiwa naye.
Video: Yadeta Berhanu and Habtamu Tibebu, BBC News Afaan Oromo
Video, Simba na Yanga: 'Nilizimia baada ya kumuweka mke rehani kwa shabiki wa Simba', Muda 1,15
Jimmy Kindoki ni shabiki wa sugu wa klabu ya Yanga ya Tanzania, lakini mapenzi kwa klabu yake nusura yamtokee puani wikendi.