Unamsaidia vipi mtoto ajue kusoma na kuandika baada ya masomo ya shule ya msingi Tanzania?
Unamsaidia vipi mtoto ajue kusoma na kuandika baada ya masomo ya shule ya msingi Tanzania?
Ni juhudi gani zifanyike ili kusaidia mtoto kujua kusoma na kuandika akimaliza shule ya msingi nchini Tanzania? Sikiliza Haba na Haba inayoangazia kuhusu kutojua kusoma na kuandika kwa muujibu wa ripoti ya UNESCO:
Je wanaume nao wanafaa kuchukua jukumu la kupanga uzazi?
Licha ya ongezeko la idadi ya wanawake wanaotaka kuzuia mimba, matumizi ya vifaa vya kisasa vya kuzuia mimba katika jangwa la sahara yamesalia kuwa ya viwango vya chini.