Aggrey Mwandri: Vioja vya mkuu wa mkoa wa Tabora vinavyosisimua mitandao Tanzania
Aggrey Mwandri: Vioja vya mkuu wa mkoa wa Tabora vinavyosisimua mitandao Tanzania
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwandri amekuwa akivuma katika mitandao ya kijamii Tanzania kwa matamshi anayotoa yanayosisimua umati anapohutubia. Baadhi hata kuchukua nukuu zake na kuzitumia katika video zilizohaririwa za utani au kejeli.
Je anasema nini kuhusu video zake zinavyotumika?
Video: Eagan Salla

Video, Hadhara Charles Mnjeja: Mwanadada aliyemvutia Trump kwa ustadi wake wa kupepeta mpira, Muda 1,11
Video fupi inayomuonesha Hadhara Charles Mnjeja kutoka Tanzania, akipepeta mpira kwa ustadi imepata umaarufu mkubwa katika mitandao ya kijamii.