Mwalimu bora duniani apania kuwawezesha wasichana kupenda masomo ya sayansi
Mwalimu bora duniani apania kuwawezesha wasichana kupenda masomo ya sayansi
Mwalimu wa sayansi Peter Tabichi kutoka eneo la kijijini nchini Kenya , ambaye hutoa sehemu kubwa ya mshahara wake kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi maskini zaidi , ameshinda tuzo la dola milioni moja ($1m ) kwa kuwa mwalimu bora zaidi duniani.