Kikosi hicho kinawahusisha watu wenye umri wa miaka 50 na zaidi
Kikosi hicho kinawahusisha watu wenye umri wa miaka 50 na zaidi
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ameahidi kuwasajili wapiganaji wengine zaidi ya milioni moja kwenye kikosi cha kujitolea mwaka huu.