Ramadhani njema: Kuna umuhimu gani wa mtoto kufunga?
Ramadhani njema: Kuna umuhimu gani wa mtoto kufunga?
Mamilioni ya Waislamu duniani kote wanaadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani kila mwaka kwa kufunga, kusali na kufanya matendo mema.
Nadia ni mtoto mwenye umri wa miaka 10 anayeishi Mombasa, Kenya na alianza kufunga tangu akiwa na umri wa miaka nane.
BBC ilikutana na mtoto huyo ambaye amesimulia jinsia alivyoanza kufunga na kwa nini ni muhimu kwake kufunga.

Sikiliza, Kwanini ndoa zinakithiri wakati Ramadhani?, Muda 4,13
Siku chache zikiwa zimesalia ili kuanza kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, ndoa za haraka haraka zimekuwa zikishuhudiwa. Kulikoni?