Kutana na Moses Turahirwa mwanamitindo anayemvalisha rais wa Rwanda
Kutana na Moses Turahirwa mwanamitindo anayemvalisha rais wa Rwanda
Moses Turahirwa ni kijana wa Myarwanda ambaye ubunifu wake wa mitindo ya mavazi umeweza kuwavutia watu mbali ndani na nje ya Rwanda. Miongoni mwao ni rais wa Rwanda Paul Kagame na familia yake. Amezungumza na BBC
Priscillah Ruzibuka: Kijana wa Kinyarwanda aliyeamua kujiajiri kutumia fasheni
Baada ya kufuzu masomo ya Chuo Kikuu ,Priscillah Umutashya Ruzibuka hakusubiri kuajiriwa