Kifo cha Magufuli: Wakazi wa Mwanza wamzungumzia Hayati Magufuli
Kifo cha Magufuli: Wakazi wa Mwanza wamzungumzia Hayati Magufuli
Wakazi wa jiji la Mwanza Kaskazini Magharibi mwa Tanzania, wamepata nafasi ya kumuaga Hayati John Magufuli leo.
Wameeleza namna wanavyomkumbuka walipozungumza na BBC