Wayne Rooney alivyofunga bao dhidi ya Gor Mahia
Wayne Rooney alivyofunga bao dhidi ya Gor Mahia
Wayne Rooney alifunga bao kutoka mbali mechi yake ya kwanza tangu aliporejea klabu ya Everton kutoka Manchester United.
Alifunga bao hilo mechi ya kirafiki dhidi ya Gor Mahia FC ya Kenya jijini Dar es Salaam, Tanzania.