Video content
Je kwa utamaduni wa kwenu kitu gani ni lazima kwenye mahari? kwa wahadzabe wa Hydom nchini Tanzania nyama ya nyani, pofu, bangi, tumbaku na pombe ya asali ni lazima.
Je kwa utamaduni wa kwenu kitu gani ni lazima kwenye mahari? kwa wahadzabe wa Hydom nchini Tanzania nyama ya nyani, pofu, bangi, tumbaku na pombe ya asali ni lazima.
Yusuph Mazimu
BBC Swahili
Christine Mosha au maarufu kama Seven ni Mtanzania ambaye ameteuliwa na Kampuni ya Sony Music Entertainment Africa.
Fuatilia jinsi wanawake wa jamii ya Hadzabe, Tanzania wanavyotekeleza wajibu wao wa kujenga nyumba kwa ajili ya familia.