Maafisa wa usalama pamoja na genge la wauza dawa za kulevya la cartel walizusha vurugu mara baada ya mtoto wa mfanyabiashara nguli wa dawa za kulevya Joaquín "El Chapo" Guzmán' kukamatwa na polisi.
Mpishi mmoja amekamatwa kwa kutuhumiwa kwa ulanguzi wa madawa ya kuelvya baada ya polisi kugundua bangi nyumbani kwake, vyombo vya habari Italia vinaripoti.
Nyota huyo wa muziki wa Pop ameandika insha ya kisisimua katika mtandao wa kijamii na kuomba radhi kwa tabia zake mbaya alizokuwa anazifanya katika miaka ya nyuma.
Mamlaka nchini Brazil imempata mfungwa malnguzi wa mihadarati Clauvino da silva amefariki katika chumba chake jela , siku tatu baada ya hatua yake ya kutaka kutoroka kuzuiwa.